Je huu ndio ukweli kuhusu mshana jr ?

madala mujipa

JF-Expert Member
Feb 23, 2017
1,417
860
Amani kwenu wadau
Muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu jamaa kwa maana ya mshana jr na mada zake,yeye amejikita zaidi kwenye mauza uza ya kutisha na uganga na pia hutoa habari za kiimani pia,

Sasa kwa mnao mfahamu mtu huyu jamani je ni mganga au ni mchungaji
Na kama ni mganga nataka anielekeze maana mambo yangu hayaendi sawa tangu nilipotumbuliwa kwenye swala la vyeti fake

Ni hayo natumaini undani mwingi toka kwa wachangiaji
 
Kama una tatizo si ugelisema hapa tu, ama la ni tazizo binafsi au mahaba basi mfuate PM
 
Amani kwenu wadau
Muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu jamaa kwa maana ya mshana jr na mada zake,yeye amejikita zaidi kwenye mauza uza ya kutisha na uganga na pia hutoa habari za kiimani pia,

Sasa kwa mnao mfahamu mtu huyu jamani je ni mganga au ni mchungaji
Na kama ni mganga nataka anielekeze maana mambo yangu hayaendi sawa tangu nilipotumbuliwa kwenye swala la vyeti fake

Ni hayo natumaini undani mwingi toka kwa wachangiaji
Kwa muda huu atakuwa kwenye ulimwengu wa Giza, subiri asubuhi kuche atakuwa amerudi
 
Kazi take ndio yamfanya aonekane hivyo hdbu nendeni Tumbi hospitality mtamkuta pale
 
  • Thanks
Reactions: B40
Amani kwenu wadau
Muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu jamaa kwa maana ya mshana jr na mada zake,yeye amejikita zaidi kwenye mauza uza ya kutisha na uganga na pia hutoa habari za kiimani pia,

Sasa kwa mnao mfahamu mtu huyu jamani je ni mganga au ni mchungaji
Na kama ni mganga nataka anielekeze maana mambo yangu hayaendi sawa tangu nilipotumbuliwa kwenye swala la vyeti fake

Ni hayo natumaini undani mwingi toka kwa wachangiaji
tapatalk_1497238411096.jpeg

 
Back
Top Bottom