Nimependa tu kueleweshwa kwa kina maana nimekuwa nikijiuliza sipati majibu. Imekuwa ni kawaida kila kiongozi katika awamu hii ya tano kutumia vyombo vya habari kila kuitwapo leo. Matamko yote ya kutumbua watu na matukio mbalimbali viongozi hawa wamejisogeza kwenye kamera za waandishi wa habari.
Mbaya zaidi ni pale kunapokuwa na mambo ya siri, confidential issues yanayotakiwa yafanyike kwa usiri mkubwa, mfano mdogo ni huu wa spika wa bunge kutoa wito wa kumtaka CAG kupitia vyombo vya habari badala ya kumwandikia barua ya wito.
Je huu ndio mtindo mpya wa utendaji kazi katika awamu hii ya tano.
Mbaya zaidi ni pale kunapokuwa na mambo ya siri, confidential issues yanayotakiwa yafanyike kwa usiri mkubwa, mfano mdogo ni huu wa spika wa bunge kutoa wito wa kumtaka CAG kupitia vyombo vya habari badala ya kumwandikia barua ya wito.
Je huu ndio mtindo mpya wa utendaji kazi katika awamu hii ya tano.