MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Mbunge wa Ilala Mussa Azzan 'Zungu' amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama na Humphrey Polepole kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.
Sasa All - Rounder naanza Kuamini ile Kauli ya Kiimani kuwa mwenye Kidogo basi huendelea Kuongezewa na ambaye hana Yeye alie / anune tu.
Taarifa: globalpublishers
Sasa All - Rounder naanza Kuamini ile Kauli ya Kiimani kuwa mwenye Kidogo basi huendelea Kuongezewa na ambaye hana Yeye alie / anune tu.
Taarifa: globalpublishers