Bwana TANESCO aje hapa na maswali yake, ya kutuomba wilaya na namba za simu.
Tokea jana MPESA, haikubali, kununua LUKU, kumbe hata nikinunua token inasumbua kuingia kwenye mita.
Everyday is Saturday...............................
Hii issue ya ununuzi wa LUKU mbona imekuwa janga la taifa? Mh SSH fanya kitu kwa hao wapuuzi wa TANESCO naona wanakuletea mzaha,haiwezekani kununua umeme iwe ni kubahatisha...tangia asubuhi umeme wa LUKU haupatikani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.