mwakifamba
Member
- Sep 7, 2014
- 48
- 15
Habari
Kama MTU yuko kibamba katka eneo la viwanja vilivyopimwa na kampuni inayouza viwanja vilivyoshapimwa na MTU unataka aanze ujenzi
Je,ni muda gani na sh ngapi inatumika hadi upate kibali cha ujenzi?
Naombeni uzoefu wenu has a kwa ambao tayari washajenga
Kama MTU yuko kibamba katka eneo la viwanja vilivyopimwa na kampuni inayouza viwanja vilivyoshapimwa na MTU unataka aanze ujenzi
Je,ni muda gani na sh ngapi inatumika hadi upate kibali cha ujenzi?
Naombeni uzoefu wenu has a kwa ambao tayari washajenga