Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Haya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
No need for many threads za huyu convict
Haya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
Utamuombea au hautamuombea ?Ukristo ni kuuwa wenzio na kusisitiza uombewe
Na hao aliowaumiza hukuwahi kuwafikiria? Acha unafiki!Sikuwai kumpenda sabaya lakini hukumu yake imenihuma sana kama kijana mwenzangu mwenye ndoto kibao za maisha
Nimeisikiliza.Haya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
Unataka niwe shetani kama wewe?Na hao aliowaumiza hukuwahi kuwafikiria? Acha unafiki!
atapanda alichovunaKILA mtu uvuna apandacho
Kwa hiyo mtu wa Usalama akivunja Sheria anatakiwa aachiwe Huru?Kuna tetesi Sabaya ni usalama na ataachiwa
Kamsaidie kifungo huko kisongoHapa Lema alikuwa anamrekodi Sabaya spate attention na amefanikiwa
Nimependa maneno ya Sabaya "Lema we muhuni na Mimi pia muhuni"
Kumbe Lema ni muhuni tu ila kamuotea muhuni mwenyewe, ila pia najiuliza kwanini Lema kawahusisha wachaga kwenye mazungumzo yake,
Ni mpango uliosukwa??
Wana kinga haoKwa hiyo mtu wa Usalama akivunja Sheria anatakiwa aachiwe Huru?
Rudi shule kasome tena.Wana kinga hao