Je hizi safari kwa Rais wetu hazina madhara ki-afya?

Hobic11ac

Member
Apr 7, 2012
29
7
Wakuu tukumbuke Rais wetu JK anayo historia ya kuanguka mara tatu nne hivi jukwaani na sababu zilizotolewa na idara husika kuwa ni UCHOVU. Sasa kiongozi wetu anabadilisha nguo akiwa kwenye ndege licha ya kubadilisha family yake kutoka extended kuwa single maana anayefaida mapenzi ni mama salma pekee. Jamii tunajua na kutambua kuwa watoto wanahitaji wawili hawa. Je usalama wa taifa wako wapi rais wetu anachoka na safari? Wanataka aanguke tena ndo wajue sasa amechoka!
 
Baba mwanaasha ni mzoefu sana kwa safari hachoki huyo,.lakini kwa mambo mazito ya kitaifa loooh,hutamsikia.
 
Mimi nadhani safari zake za nje zinamsaidia kuwa na afya zaidi maana zinampunguzia shinikizo la mambo ambayo angeyakabili kama angekuwa nchini.
 
Yes, jet lag. Dalili kuu ya ugonjwa huu ni uzito wa kufanya maamuzi magumu kwa muda muafaka ie maamuzi yana lag behind events in real time.
 
sio lazima aseme anaenda kwenye matibabu ya kuanguka anguka,ukiona haendi safari basi subiri utasikia kaanguka au mi saaingine najiuliza hiyo movie yake anayotengeneza ya kusafirisafiri ili aje atuuzie itiisha lini? nimechoka kuisubiri,kimbunga cha Sugu kianze tu ss tujue moja hamna nyumba wala paa
 
Wakuu tukumbuke Rais wetu JK anayo historia ya kuanguka mara tatu nne hivi jukwaani na sababu zilizotolewa na idara husika kuwa ni UCHOVU. Sasa kiongozi wetu anabadilisha nguo akiwa kwenye ndege licha ya kubadilisha family yake kutoka extended kuwa single maana anayefaida mapenzi ni mama salma pekee. Jamii tunajua na kutambua kuwa watoto wanahitaji wawili hawa. Je usalama wa taifa wako wapi rais wetu anachoka na safari? Wanataka aanguke tena ndo wajue sasa amechoka!

Hizi safari kwa kiasi kikubwa zimemjenga kiafya. akitoka malawi nadhani ni vyema akafika Cairo-misri coz sina kumbukumbu kama kesha wahi kufika huko! Vasco da gama wetu si mchezo!
 
Back
Top Bottom