Zaman sanaJe, matokeo ya dirisha la tatu yameshatoka hadi mtu aongelee dirisha la NNE?
Ahsante
Zaman sana
Ni vyuo vyote au ni baadhi tu kwani dogo wangu bado hajanipa mrejesho wa application zake. Yeye aliapply UDSM na College zake pamoja na UDOM.
Taarifa tafadhali
Mara nyingi wanaishiaga awam ya tatu, sidhan kama kutakuwa na awam nyingine.Msaada wakuu
acha uongo mkuu,,, mwaka jana walifungua dirisha la nne tena lilifunguliwa tareh 10/10 mpaka 17/10Mara nyingi wanaishiaga awam ya tatu, sidhan kama kutakuwa na awam nyingine.
Lolote linaweza tokea
round ya nne kuanza october mosi adi october nneView attachment 1215696
Sidhani kama ni Press Release yao (angalia jinsi ilivyo andikwa-muandishi anareport Kihampa alichosema), lakini content zake zina uhalisia kwani bado wapo ambao hawajapata wa kutosha na vyuo bado vina nafasi. Kwa mfano UDOM bado MD kuna vijana 195 hawaja confirm. Ikifika September 30, 2019 wale ambao hawaja confirm nafasi zao zinarudi sokoni. UDSM wako 1627 hawaja confirm hadi kufikia round ya 3. Hawa ambao hawaja confirm wanatakiwa wawe makini sana au sivyo .........Hii ni press release ya TCU kweli?
Ahsante
ii system siyo rafiki kwa mtu anaekaa kijijin ana pc au smartphne.Sidhani kama ni Press Release yao (angalia jinsi ilivyo andikwa-muandishi anareport Kihampa alichosema), lakini content zake zina uhalisia kwani bado wapo ambao hawajapata wa kutosha na vyuo bado vina nafasi. Kwa mfano UDOM bado MD kuna vijana 195 hawaja confirm. Ikifika September 30, 2019 wale ambao hawaja confirm nafasi zao zinarudi sokoni. UDSM wako 1627 hawaja confirm hadi kufikia round ya 3. Hawa ambao hawaja confirm wanatakiwa wawe makini sana au sivyo .........
Mzee kwa data gani?,sababu hata carrying capacity ya chuo ni 175Sidhani kama ni Press Release yao (angalia jinsi ilivyo andikwa-muandishi anareport Kihampa alichosema), lakini content zake zina uhalisia kwani bado wapo ambao hawajapata wa kutosha na vyuo bado vina nafasi. Kwa mfano UDOM bado MD kuna vijana 195 hawaja confirm. Ikifika September 30, 2019 wale ambao hawaja confirm nafasi zao zinarudi sokoni. UDSM wako 1627 hawaja confirm hadi kufikia round ya 3. Hawa ambao hawaja confirm wanatakiwa wawe makini sana au sivyo .........