The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Inakuwaje wanajamvi,
Yani ukiangalia picha na video za miaka ya tisini kurudi nyuma vijana wengi hadi wa makamu miaka 45+ walikuwa na afro na nywele nyingi. Ngumu sana kukuta vipara.
Ila sasa hivi kwaanzia ma teenegers hadi 27 years wengi wana vipara.
Tatizo nadhani msongo wa mawazo, vyakula na PUNYETO.
Yani ukiangalia picha na video za miaka ya tisini kurudi nyuma vijana wengi hadi wa makamu miaka 45+ walikuwa na afro na nywele nyingi. Ngumu sana kukuta vipara.
Ila sasa hivi kwaanzia ma teenegers hadi 27 years wengi wana vipara.
Tatizo nadhani msongo wa mawazo, vyakula na PUNYETO.