GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Akitiririka na akiserereka ' Runingani ' Mtangazaji maarufu na ' Poti ' wangu kabisa Bhoke wa EAtv na Kipindi Kizuri cha DADAZ leo amefunguka na kusema kwamba moja ya sababu iliyomfanya aamue Kuachana na mmoja wa Mpenzi wake ni Kitendo cha Mpenzi wake huyo kila mara akitaka kufanya nae Jambo basi lazima atamlinganisha na Marehemu Mkewe.
Huyo Mwanaume japo Mkewe alikuwa ameshafariki lakini pamoja na kwamba walianza nae Mahusiano lakini Mwanaume bado aliamua kutoitoa Picha ya Mkewe huyu Ukutani na kwamba hata walipokuwa wakimaliza Kufanya Mapenzi yao na ( Bhoke ) basi huyu Mwanaume ataamka Kitandani na kwenda Kuibusu ile Picha na Marehemu Mkewe na Kumuomba Msamaha.
Kwa mujibu wa Mtangazaji Bhoke anasema kwamba huyo Mpenzi wake alikuwa ' akimpenda ' sana yule Marehemu Mkewe hali ambayo ilimkera Yeye kwakuwa kila mara walipokuwa pamoja au akifanya jambo basi huyo Mwanaume Kwanza atamfananisha na Marehemu Mkewe hali ambayo ilimkera na ' Poti ' wangu Bhoke akaamua ' Kusepa ' zake.
Je kuna wengine ambao mmekumbana na hii hali aliyokutana nayo Mtangazaji Bhoke wa EAtv?
Nawasilisha.
Huyo Mwanaume japo Mkewe alikuwa ameshafariki lakini pamoja na kwamba walianza nae Mahusiano lakini Mwanaume bado aliamua kutoitoa Picha ya Mkewe huyu Ukutani na kwamba hata walipokuwa wakimaliza Kufanya Mapenzi yao na ( Bhoke ) basi huyu Mwanaume ataamka Kitandani na kwenda Kuibusu ile Picha na Marehemu Mkewe na Kumuomba Msamaha.
Kwa mujibu wa Mtangazaji Bhoke anasema kwamba huyo Mpenzi wake alikuwa ' akimpenda ' sana yule Marehemu Mkewe hali ambayo ilimkera Yeye kwakuwa kila mara walipokuwa pamoja au akifanya jambo basi huyo Mwanaume Kwanza atamfananisha na Marehemu Mkewe hali ambayo ilimkera na ' Poti ' wangu Bhoke akaamua ' Kusepa ' zake.
Je kuna wengine ambao mmekumbana na hii hali aliyokutana nayo Mtangazaji Bhoke wa EAtv?
Nawasilisha.