MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kabla ya Simba SC kucheza na TP Mazembe katika Simba Day Kauli zilikuwa ni....
"TP Mazembe ya sasa hivi ni mbovu mbovu na Simba SC imejitafutia Timu mchekea ili ishinde kirahisi"
Baada ya Simba SC kufungwa na TP Mazembe katika Simba Day Kauli zimebadilika ghafla na kuwa....
"Hii sasa ndiyo TP Mazembe tunayoijua Sisi na imeupiga mwingi hadi Mnyama kautafuta kwa Tochi"
Dhambi hii ya Unafiki inatuumiza sana.
"TP Mazembe ya sasa hivi ni mbovu mbovu na Simba SC imejitafutia Timu mchekea ili ishinde kirahisi"
Baada ya Simba SC kufungwa na TP Mazembe katika Simba Day Kauli zimebadilika ghafla na kuwa....
"Hii sasa ndiyo TP Mazembe tunayoijua Sisi na imeupiga mwingi hadi Mnyama kautafuta kwa Tochi"
Dhambi hii ya Unafiki inatuumiza sana.