Je hii ni sawa kwa GOLDEN BOOT WINNER?

kiben10

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
616
788
Umegundua Nini hapo!? Mm nmegundua Kuna utofauti mkubwa Sana kati ya kiatu Cha dhahabu na kiatu Cha mtumba.

Maoni yangu tu lakini.....
FB_IMG_1557731084210.jpeg
FB_IMG_1557731088322.jpeg
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!

Umemaliza uzi ufungwe.
 
.....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!

Ligi ya Samatta ni ndondo tu wala sio miongoni mwa candidates wa ‘Golden Boot’.
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!
Thread closed.
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!
Full Story tuangalie nyuzi zingine huu umeisha
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!
Safi sana you hv nailed it...thread closed.
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!
nuff said...........
 
Unapotosha. Hicho cha Samatta sio Golden boot, Bali kinaitwa "Black Ebony Shoe" ni tuzo anayopewa mchezaji aliyefanya vizuri mwenye asili ya Africa (Bila kujali rangi) anayechezea katika Ligi ya "Belgian Jupiler League Pro".....Kuhusu Kiatu cha dhahabu bado hakijatolewa kwani Ligi yao bado haijaisha na huyo Samatta ana nafasi kubwa kukichukuwa!!
Uzi umefungwa kwakomenti yako Mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom