Kutafuta Mume Au Mke Kupitia Mitandao Ya Kijamii Kama Facebook, Twitter, N.k
HAPO NK...MBONA JF(mmu) HUJATAJA?HUUFANYII FAIR MTANDAO MARIDHAWA,SO FAR MAPENZI YA MITANDAO YA KIJAMII YANAKUA NJIA MUAFAKA KWA WALE AMBAO THEY ARE SEDUCED BY APPEARANCE(IMPRESSION MATTERS-MEETING) ITS JUST THE SAME AS WATU WALIOKUTANA KWENYE DALADALA(THEY MET) WAKAANZA KU DATE
mkuu niliposema mitandao ya kijamii tambua Jf nayo pia inahusika!!
Uliposema kuwasiliana kupitia mitandao ni sawa na kuonana tu,.
Je kuonana tu inatosha kuanzisha ndoa?
Shida iko wapi? Wewe unatumia mitandao bila kujua umuhimu wake? Hujui mitandao ni mass media?
sidhan kama kuna tatizo ikiwa unamaanisha unachokitaka, ndoa ni upendo, kuvumiliana na kuheshimiana na yote yanayofanana na hayo kama utayatimiza kwa yule utakayempata haijalishi umempata kupitia mitandaoni mtaishi si kila kitu kinachotokana na mitandao ni kibayaKutafuta Mume Au Mke Kupitia Mitandao Ya Kijamii Kama Facebook, Twitter, N.k
''TUJARIBU KUJENGA HOJA TUNAPOSEMA NI SAHIHI AU HAPANA''
Ni poa tu ila mambo yanakuwa hivi...... BINTI: Baba huyu ni mpenzi wangu anaitwa Alex nilijuana nae katika website ya kutafuta wachumba akanitongoza kupitia "FACEBOOK" nikaonana nae kwa mara ya kwanza katika "SKYPE" nikazidi kuzoeana nae katika "WATSAPP" hata ile simu yangu ya blackberry ameninunulia yeye ili tuwe tuna chart kupitia "BBM" kwakweli ananipenda sana amenidhihirishia hilo kupitia "ISTAGRAM" BABA: Okey binti yangu bila shaka mtafunga ndoa katika "TWITTERr" watoto mtawatafuta kupitia "GOOGLE" na ndoa yenu itafanyika "YOU TUBE" ili kila mtu aone upumbavu wenu.........Kutafuta Mume Au Mke Kupitia Mitandao Ya Kijamii Kama Facebook, Twitter, N.k ''TUJARIBU KUJENGA HOJA TUNAPOSEMA NI SAHIHI AU HAPANA''
Ni poa tu ila mambo yanakuwa hivi...... BINTI: Baba huyu ni mpenzi wangu anaitwa Alex nilijuana nae katika website ya kutafuta wachumba akanitongoza kupitia "FACEBOOK" nikaonana nae kwa mara ya kwanza katika "SKYPE" nikazidi kuzoeana nae katika "WATSAPP" hata ile simu yangu ya blackberry ameninunulia yeye ili tuwe tuna chart kupitia "BBM" kwakweli ananipenda sana amenidhihirishia hilo kupitia "ISTAGRAM" BABA: Okey binti yangu bila shaka mtafunga ndoa katika "TWITTERr" watoto mtawatafuta kupitia "GOOGLE" na ndoa yenu itafanyika "YOU TUBE" ili kila mtu aone upumbavu wenu.........Kutafuta Mume Au Mke Kupitia Mitandao Ya Kijamii Kama Facebook, Twitter, N.k ''TUJARIBU KUJENGA HOJA TUNAPOSEMA NI SAHIHI AU HAPANA''
Kutafuta Mume Au Mke Kupitia Mitandao Ya Kijamii Kama Facebook, Twitter, N.k
''TUJARIBU KUJENGA HOJA TUNAPOSEMA NI SAHIHI AU HAPANA''
ni sahihi.
Inategemea 'ntu na ntu"
siku hizi maisha yanatushinda kwa kuwa tuna generalize vitu sana,kama hao unaoishi nao huko mtaani au unaokutana nao makazini au sehemu mbali mbali umewaona hawakufai sembuse yule ambaye humjui kabisa?kisa eti unchat nae fb au jf?unadhani ndo atakuwa malaika wa kujaza yale unayoyawaza kichwani?