Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,338
- 6,463
- Thread starter
- #21
Hii si email halisi, mbona umeunganisha maelezo ya maombi na email ya maige kwa kuscan karatasi juu ya nyingine? Kwa kuligundua hilo angalia hizo alama za muunganiko wa karatasi. be serious sometimes.
haya ni majungu wakuu JF
Ungepiga hatua moja mbele katika kufikiri basi usingesema uliyosema hapo juu. Hiyo mistari unayoiona ni baada ya kukata addressees na vitu vingine viwili ili kutokujua kuwa ni nani kati ya addressees ame-leak-isha hii e-mail. Naomba uchukue typed paper halafu kata mistari (ondoa sehemu hiyo ya karatasi na kuacha tundu/ uwazi) baadhi na kuacha uwazi halafu scan halafu utuletee hiyo paper kama hakutakuwa na hiyo mistari!!