Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Hivi chimbuko hasa la waziri kijana wa Utalii na Maliasili, Bwana Maige kuiba pesa za watanzania na kuwa fisadi nguli ni hayo yaliyomo kwenye hii attachment? Je, attachment hii inaonesha a tip of the iceberg ya chimbuko la wizi wa mali ya umma Tanzania kwa viongozi wengine wote wa siasa?
Kujitoa kote huko kwa Mr. Maige ni kutaka kumsaidia mtanzania kuondokana na umasikini?!
Kujitoa kote huko kwa Mr. Maige ni kutaka kumsaidia mtanzania kuondokana na umasikini?!