Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,967
- 156,166
khakhakhaaaaaaa kama nakuonaaaaaaaaaaaaaaaa
Au na jiwe mkuumimi huwa nikimaliza nasugua kwenye ukuta
Mi huwa sitingishi huwa naipiga kofi....
Kwa mazingira niliyoishi mwanaume anachukua tishu anashika nayo dushe anakojoa zake halafu anaishake anarudisha ndaniKwani wakaka wa Ulaya wanasafishaje?
Si wanapaswa kunawa mikono?
Umeongea sahihi sana, na kwa muislam yeyote asiyefanya hivo ulivosema, hakika ibada zake zina walakini mno!Kwa sisi waumini wa dini ya Kiislam, unatakiwa mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa, baada ya hapo uoshe hiyo dhakari "dudu" kwa maji safi kuondoa najisi ya mkojo.
Baada ya kumaliza haja zako unawe mikono kwa maji safi
Inapotokea dharula basi unaweza kustanji kwa mawe matatu (naweza sahihishwa) kuondoa mkojo kwani ni najisi. Hii ina maana inaepusha chupi kuwa na mikojo ilhali unatakiwa kufanya ibada
"Uislam ni usafi"! Nawasilisha
kuanzia leo sisalimiani tena kwa mikono haswa na wanaume loh,asante kwa kunijuzaWakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
😂😂😂😂 utajiua wewe acha ujinga😂😂😂mimi huwa nikimaliza nasugua kwenye ukuta
Hata mie pia?? Nitakua sikushobokei ukipitakuanzia leo sisalimiani tena kwa mikono haswa na wanaume loh,asante kwa kunijuza