Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,483
- 3,568
Daaah! We [HASHTAG]#Sky[/HASHTAG] ni hatariiii!Wakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
Daaah! We [HASHTAG]#Sky[/HASHTAG] ni hatariiii!Wakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
Ho ho ho! Sina mbavu, hiyo tu. Ikitoka kupapuchua pia haioshwi. Tunashake hands tu!Wakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
Kwa wanaume wote, imekua kawaida sana baada ya kujisaidia haja ndogo, tunatikisa (shake) uume kama ndio njia ya kujisafisha au kutoa mkojo unaobaki.
Je, hii ndio njia sahihi au?
ndo maana siku hizi chakula kinachohitaji mkono natumia left hand sitaki upuuzi mimi wakulishana mikojo na mavi ya watuWakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
we dada...Wakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
Baada ya kutumia hayo mawe unayaweka wap mkuu?Kwa sisi waumini wa dini ya Kiislam, unatakiwa mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa, baada ya hapo uoshe hiyo dhakari "dudu" kwa maji safi kuondoa najisi ya mkojo.
Baada ya kumaliza haja zako unawe mikono kwa maji safi
Inapotokea dharula basi unaweza kustanji kwa mawe matatu (naweza sahihishwa) kuondoa mkojo kwani ni najisi. Hii ina maana inaepusha chupi kuwa na mikojo ilhali unatakiwa kufanya ibada
"Uislam ni usafi"! Nawasilisha
hahah aisee mjomba umenifurahisha sana.Mawe utayaandaa kabla ya kukojoa. Ni lazima uzingatie baadhi ya mambo kabla ya kukojoa na haifai kukojoa hovyo hovyo si kidini tu bali hata kistaarabu. Usikojoe chini ya mti wa kivuli, usikojoe jalalani, usikojoe pembeni ya shimo wala usikojoe sehemu ngumu ambayo itafanya 'cheche za mkojo kukurukia' mwilini mwako
Kwa faida zaidi juu ya kustanji soma hapa chini
KUSTANJI
Inajuzu/inafaa kustanji (kuchamba) kwa kutumia maji mutlaq (maji halisi) ambayo ndiyo asili katika kujitwahirisha na najisi. Pia inajuzu kustanji kwa kila kitu chenye sifa zifuatazo :
i.Kigumu (kigogofu)
ii.Chenye Kuparuza (kisichoteleza)
iii.Kinachoweza kuondosha najisi.
Vitu vyenye sifa hizi ni kama mawe, karatasi, kitambaa na kadhalika.
Ni vema kustanji, mtu akaanza kwa kutumia mawe/karatasi kisha ndio akamalizia na maji.
Kufanya hivyo ni kwa sababu mawe/karatasi huondosha juta (dhati) ya najisi na maji huondosha athari ya najisi bila ya kuchangayika na juta lake.
Ikiwa atatumia kimojawapo baina ya mawe/karatasi na maji, basi ni bora akatumia maji kwani ndiyo pekee yenye uwezo wa kuondosha juta (dhati) na athari ya najisi, kinyume na mawe na nduguze {karatasi, kitambaa na kadhalika}.
Imepokelewa kutoka kwa Anas Ibn Maalik – Allah amuwie Radhi – amesema :
Mtume wa Allah alikuwa akiingia mahala pa kukidhi haja, mimi na kijana wa rika langu tukimbebea chombo cha maji na fimbo/mkuki mfupi, basi akistanji kwa kutumia maji. Bukhariy na Muslim.
Maelezo : Fimbo/Mkuki ulikuwa ukitumika kama sitara na alama wakati wa kuswali ili mtu asiweze kupita mbele.
Imepokewa na Ibn Masoud – Allah amuwie Radhi – amesema :
Mtume – Rehma na Amani zimshukie – alienda kukidhi haja na akaniamrisha nimletee mawe matatu. Al-Bukhariy.
USISTANJI kwa kutumia najisi nyingine iliyo kavu au kitu kilichonajisika tayari kwani huenda kikaizidisha athari ya najisi badala ya kuipunguza.
Kadhalika ni haramu kustanji kwa kilicho chakula cha binadamu kama vile mkate au chakula cha majini kama vile mifupa. Amesema Bwana Mtume – Allah amshushie Rehma na Amani –
"Msistanji kwa (kutumia) kinyesi cha wanyama wala mifupa kwani hiyo (mifupa) ni chakula cha ndugu zenu majini" Tirmidhiy.
Hakika MWENYEZI MUNGU ANAJUA ZAIDI.
Sioni cha ajabu hapa!! Mbona mic mnakamatia bila kujiuliza mara mbili mbiliWakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
porini ntatoa wapi sabuniNinadhani mleta mada alimaanisha umuhimu wa kutumia maji na sabuni baadavya kushika sehemu za siri
Tunatumia kushoto kushake mkojo uliobaki,na tunashake hands for greeting na mkono wa kulia,na tunaponunua vitumbua tunakula kwa kutumia right hand.Wakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
Wewe, wenzako wanaibugia hivyo hivyo wewe unaulizia kushikana mikono baada ya haja ndogo!Wakitoka hapo wana shake hands na wewe, baadavya hapo una nunua vitumbua unakula. Ndiyo maana Tanzania tunapendana sana
Mmh mkuu si unaibugia ya uliyekubaliana naeWewe, wenzako wanaibugia hivyo hivyo wewe unaulizia kushikana mikono baada ya haja ndogo!
Unataka tuw tunatembea na maji?Ninadhani mleta mada alimaanisha umuhimu wa kutumia maji na sabuni baadavya kushika sehemu za siri