XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,956
Habari wakuu
Kuna hili jambo nimekua nikijiuliza, kwa muda mrefu ninapokua nimelala, huwa naamka kwa kuhisi kama nimeanguka kutoka juu kwenye ceiling.
Kuna muda najaribu kujiaminisha ni ndoto ila hainipi, huwa najihisi kabisa kama naanguka kutoka juu kwenye ceiling na nikitua kitandani nahisi kabisa nimetua kitandani na kuamka hapo hapo.
Kuna siku nikiwa nimelala nikaanza kujihisi kama naelea pale juu ya kitanda, Ile kuhamaki nikaanguka tena kitandani na kuamka.
Wakuu nisaidieni, je hii ni ndoto au ??
Byuti Byuti!
Kuna hili jambo nimekua nikijiuliza, kwa muda mrefu ninapokua nimelala, huwa naamka kwa kuhisi kama nimeanguka kutoka juu kwenye ceiling.
Kuna muda najaribu kujiaminisha ni ndoto ila hainipi, huwa najihisi kabisa kama naanguka kutoka juu kwenye ceiling na nikitua kitandani nahisi kabisa nimetua kitandani na kuamka hapo hapo.
Kuna siku nikiwa nimelala nikaanza kujihisi kama naelea pale juu ya kitanda, Ile kuhamaki nikaanguka tena kitandani na kuamka.
Wakuu nisaidieni, je hii ni ndoto au ??
Byuti Byuti!