Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Leo nimeona magari kibao ya FFU mengi yakiwa na askari kibao yakitokea njia ya Mbauda hapa Arusha nilipouliza kuna rafiki yangu kaniambia wanafanya zoezi kwa ajili ya Arumeru mashariki kwa walio maeneo ya Mbauda watujuze maana utafikiri hapa Arusha kuna vurugu kubwa mahali.