Je, hii ni Hujuma tu ya Wamarekani au sasa ni rasmi kwamba hali ya Uchumi duniani ni mbaya sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
Barua iliyovuja ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bwana Antonio Gutterez imesema kwamba kuanzia Mwezi Novemba mwaka huu Umoja huo utakuwa hauna Hela kutokana na kwamba Wanachama wake wengi kutokulipa Ada yao hivyo kuyaweka rehani Maisha ya Wafanyakazi 37,000 duniani kote na Kuathiri Shughuli nyingi kutokutendeka vyema.

Kuelekea Kuumaliza mwaka Umoja wa Mataifa unahitaji Kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 230 ( Tsh Bilioni 23 ) ili kuweza Kuendeshea Shughuli zake na ndizo Hela ambazo mpaka hivi sasa hawajazipata kutoka kwa Bajeti yao ya mwaka ya Dola za Kimarekani Bilioni 5.3 ( Tsh Trilioni 540 ) hivyo Katibu Mkuu huyo anaona kuwa huenda wakashindwa Kutekeleza Majukumu yao ya Kiutendaji.

Kutokana na hali hii ya ‘ Ukata ‘ unaoikumba Taasisi hii muhimu ya Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu huyo amesema ya kwamba imewabidi sasa walazimike kuyaanza Maisha mapya ambayo hawayakuyazoea kwa Kipindi kirefu ( miongo mingi ) ya Kubana Matumizi ambapo na Wao kwa sasa wameanza Kupunguza idadi ya Makongamano na Mikutano yao, Kupunguza Safari za Maofisa wake lakini kama haitoshi wamelazimika pia kuanza Kuwakatia Tiketi za ‘ Economy Class ‘ Maofisa wake badala ya zile za ‘ First Class ‘ ambazo walikuwa wakiwakatia kutokana na Hadhi ya Taasisi hiyo.

Kwa Mtazamo wangu mdogo tu na pengine usio rasmi An Eagle naona kwa ‘ Ukata ‘ huu unaoenda Kuikumba Taasisi hii muhimu ya Umoja wa Mataifa ( UN ) huenda pia ‘ ikawaathiri ‘ kwa Kiasi kikubwa Wanajeshi wetu wengi wa Kulinda Amani waliotapakaa katika nchi kadhaa hivyo kusababisha wengi wao Kulazimika Kurejea nchini na hata wasipate yale malipo makubwa ambayo huwa wanayapata na kupelekea Kusababisha ‘ mitafaruku ‘ mikubwa ndani ya Majeshi yetu au hata katika Serikali zetu kwani kuna Tetesi ( japo bado sijazithibitisha ) kwamba wapo baadhi ya Wanajeshi ambao ‘ huwaonga ‘ Wakubwa zao ili wawepo katika hizo ‘ Missions ‘ hasa hasa kwa nchi kama za DRC na Sudan ya Kusini wakiwa na mategemeo ya kwamba wakirudi huko Umoja wa Mataifa ( UN ) huwa wanawalipa Kiasi kikubwa cha Pesa kuanzia Tsh Milioni 75 hadi hata Tsh Milioni 90 kutegemeana na Makubaliano ya Serikali husika na Bajeti za UN kwa wakati huo.

Hapo juu nimekuja na Mashaka kuwa huenda huu ‘ Ukata ‘ unaoikumba sasa Umoja wa Mataifa ( UN ) ukawa ni aina fulani hivi ya ‘ indirect sabotage ‘ kutoka kwa nchi kama ya Marekani ambayo ndiyo inaongoza kuwa Mchangiaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa ( UN ) ambapo ukiondoa tu Michango ya nchi Wanachama wote duniani wao ( Marekani ) peke yao wanachangia 22% ndani ya United Nations ( UN ) hali ambayo kwa kiasi fulani inawafaya wawe na Sauti ( Kibesi ) dhidi ya ‘ Sekretarieti ‘ nzima ya Umoja wa Mataifa.

Yawezekana Marekani ‘ imechukizwa ‘ ama na Kitendo cha Umoja wa Mataifa kutoonyesha Uungwaji wake mkono kuhakikisha kuwa ‘ Maadui ‘ wakubwa wa sasa wa Marekani kama Iran na Korea ya Kaskazini hawachukuliwi hatua madhubuti kama sehemu ya ‘ Kuwadhoofisha ‘ kusudi hata baadae Marekani akianzia Vita nao ( hizo nchi ) basi aweze ‘ Kuzipiga ‘ Kiurahisi hivyo kuzidi Kujiimarisha Kiuchumi na hata Kimkakati.

Hata hivyo nimeuleta hapa huu Uzi ili ‘ Wajuvi ‘ na ‘ Wabobezi ‘ wa Masuala haya ya Kimataifa nanyi muweze Kuchangia Kiukamilifu na kuweka uzoefu wenu juu yah ii hali ili basi na Sisi wengine akina An Eagle tuweze Kujifunza zaidi kwani hakuna Jambo la Kimjadala ambalo ukilileta hapa JamiiForums litashindwa Kujadiliwa Kimantiki.

Karibuni.

Chanzo Taarifa: Mtandao wa Gazeti la The CITIZEN.
 
Ukiangalia bunge ni kuwa wabunge wanafanya shughuli ndogo sana ila malipo makubwa,kivumbi ni kuupata ubunge.
Hata East Africa Community ina shughuli ambazo kwa macho ya kawaida tu,isipofanya kazi hakuna lolote litakalotokea.

Inawezekana hata UN ina shughuli nyingi ambazo zikiahirishwa hazina athari kubwa. Kwahiyo hamna athari za moja kwa moja.
 
Ukiangalia bunge ni kuwa wabunge wanafanya shughuli ndogo sana ila malipo makubwa,kivumbi ni kuupata ubunge.
Hata East Africa Community ina shughuli ambazo kwa macho ya kawaida tu,isipofanya kazi hakuna lolote litakalotokea.

Inawezekana hata UN ina shughuli nyingi ambazo zikiahirishwa hazina athari kubwa. Kwahiyo hamna athari za moja kwa moja.

Ahsante kwa Uchambuzi wako wa Kisomi kabisa Ndugu. Nimekuelewa.
 
Dola za Kimarekani Milioni 230 ( Tsh Bilioni 23 ).?

Hesabu haiko sawa hapo.
 
Dola za Kimarekani Milioni 230 ( Tsh Bilioni 23 ).?

Hesabu haiko sawa hapo.

Acha Kunipotezea muda na kuhusu hiyo Takwimu ya Kimahesabu usinilaumu Mimi bali walaumu Gazeti la The CITIZEN kwani ndiyo nimeitoa Kwao na ungekuwa na Akili sawa sawa pale nilipoweka tu chanzo cha Taarifa hii kuwa ni wao ( The CITIZEN ) basi haraka sana ungeenda huko ili ukajiridhishe zaidi.

Hata hivyo kutokana na Kuliamini mno Gazeti hilo la The CITIZEN yawezekana Wewe ndiyo ukawa hujui vyema Hesabu na pengine hata ' current rate ' ya Dola ya Kimarekani na ndiyo maana umekurupuka hivi utadhani Kinyesi cha Alfajiri huku ukiwa na ' Agenda ' yako binafsi.

Nasisitiza tena kwa Habari ilivyoandikwa na Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lililosheheni Uweledi wa hali ya juu kabisa na ninaloliamini la The CITIZEN wameandika Dola za Kimarekani Milioni 230 ni sawa na Shilingi Bilioni 23 za Kitanzania hivyo Wewe baki na Hesabu zako za Akili zako hizo za ' Kipa Katoka ' na tuachie Sisi tunaoliamini / tunaowaamini The CITIZEN tafadhali.
 
Acha Kunipotezea muda na kuhusu hiyo Takwimu ya Kimahesabu usinilaumu Mimi bali walaumu Gazeti la The CITIZEN kwani ndiyo nimeitoa Kwao na ungekuwa na Akili sawa sawa pale nilipoweka tu chanzo cha Taarifa hii kuwa ni wao ( The CITIZEN ) basi haraka sana ungeenda huko ili ukajiridhishe zaidi.

Hata hivyo kutokana na Kuliamini mno Gazeti hilo la The CITIZEN yawezekana Wewe ndiyo ukawa hujui vyema Hesabu na pengine hata ' current rate ' ya Dola ya Kimarekani na ndiyo maana umekurupuka hivi utadhani Kinyesi cha Alfajiri huku ukiwa na ' Agenda ' yako binafsi.

Nasisitiza tena kwa Habari ilivyoandikwa na Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lililosheheni Uweledi wa hali ya juu kabisa na ninaloliamini la The CITIZEN wameandika Dola za Kimarekani Milioni 230 ni sawa na Shilingi Bilioni 23 za Kitanzania hivyo Wewe baki na Hesabu zako za Akili zako hizo za ' Kipa Katoka ' na tuachie Sisi tunaoliamini / tunaowaamini The CITIZEN tafadhali.
Pale ulipokunya pameota mbuyu.
 
Acha Kunipotezea muda na kuhusu hiyo Takwimu ya Kimahesabu usinilaumu Mimi bali walaumu Gazeti la The CITIZEN kwani ndiyo nimeitoa Kwao na ungekuwa na Akili sawa sawa pale nilipoweka tu chanzo cha Taarifa hii kuwa ni wao ( The CITIZEN ) basi haraka sana ungeenda huko ili ukajiridhishe zaidi.

Hata hivyo kutokana na Kuliamini mno Gazeti hilo la The CITIZEN yawezekana Wewe ndiyo ukawa hujui vyema Hesabu na pengine hata ' current rate ' ya Dola ya Kimarekani na ndiyo maana umekurupuka hivi utadhani Kinyesi cha Alfajiri huku ukiwa na ' Agenda ' yako binafsi.

Nasisitiza tena kwa Habari ilivyoandikwa na Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lililosheheni Uweledi wa hali ya juu kabisa na ninaloliamini la The CITIZEN wameandika Dola za Kimarekani Milioni 230 ni sawa na Shilingi Bilioni 23 za Kitanzania hivyo Wewe baki na Hesabu zako za Akili zako hizo za ' Kipa Katoka ' na tuachie Sisi tunaoliamini / tunaowaamini The CITIZEN tafadhali.
Mkuu, mbona mng'ato amekosoa kistaarabu tu! Sidhani kama anastahili maneno haya makali. Umeleta mada nzuri na makini sana lakini ni kama vile unaanza kuiwekea walakini fulani kwa wewe mwenyewe kutanua wigo wa aina fulani ya comments na maneno.
 
Acha Kunipotezea muda na kuhusu hiyo Takwimu ya Kimahesabu usinilaumu Mimi bali walaumu Gazeti la The CITIZEN kwani ndiyo nimeitoa Kwao na ungekuwa na Akili sawa sawa pale nilipoweka tu chanzo cha Taarifa hii kuwa ni wao ( The CITIZEN ) basi haraka sana ungeenda huko ili ukajiridhishe zaidi.

Hata hivyo kutokana na Kuliamini mno Gazeti hilo la The CITIZEN yawezekana Wewe ndiyo ukawa hujui vyema Hesabu na pengine hata ' current rate ' ya Dola ya Kimarekani na ndiyo maana umekurupuka hivi utadhani Kinyesi cha Alfajiri huku ukiwa na ' Agenda ' yako binafsi.

Nasisitiza tena kwa Habari ilivyoandikwa na Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lililosheheni Uweledi wa hali ya juu kabisa na ninaloliamini la The CITIZEN wameandika Dola za Kimarekani Milioni 230 ni sawa na Shilingi Bilioni 23 za Kitanzania hivyo Wewe baki na Hesabu zako za Akili zako hizo za ' Kipa Katoka ' na tuachie Sisi tunaoliamini / tunaowaamini The CITIZEN tafadhali.
Hapa tu ndio huwa nakudharau sn Mzee Genta, mbona jamaa hajatukana lkn ww matusi yanakutoka? Na pia kwann unapoleta nyuzi zako hutaki kupingwa na unalazimisha watu wote wawe na mtazamo kama wa kwako? Kama unaamini watu wote wana mtazamo kama wa kwako unaleta hoja za nn hapa?
 
Acha Kunipotezea muda na kuhusu hiyo Takwimu ya Kimahesabu usinilaumu Mimi bali walaumu Gazeti la The CITIZEN kwani ndiyo nimeitoa Kwao na ungekuwa na Akili sawa sawa pale nilipoweka tu chanzo cha Taarifa hii kuwa ni wao ( The CITIZEN ) basi haraka sana ungeenda huko ili ukajiridhishe zaidi.

Hata hivyo kutokana na Kuliamini mno Gazeti hilo la The CITIZEN yawezekana Wewe ndiyo ukawa hujui vyema Hesabu na pengine hata ' current rate ' ya Dola ya Kimarekani na ndiyo maana umekurupuka hivi utadhani Kinyesi cha Alfajiri huku ukiwa na ' Agenda ' yako binafsi.

Nasisitiza tena kwa Habari ilivyoandikwa na Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lililosheheni Uweledi wa hali ya juu kabisa na ninaloliamini la The CITIZEN wameandika Dola za Kimarekani Milioni 230 ni sawa na Shilingi Bilioni 23 za Kitanzania hivyo Wewe baki na Hesabu zako za Akili zako hizo za ' Kipa Katoka ' na tuachie Sisi tunaoliamini / tunaowaamini The CITIZEN tafadhali.
USD 1=2,305.6077 TZS (Forex)
USD 230,000,000 * 2,305.6077 TZS=
530,289,771,000 TZS
 
Mbona povu boss
Acha Kunipotezea muda na kuhusu hiyo Takwimu ya Kimahesabu usinilaumu Mimi bali walaumu Gazeti la The CITIZEN kwani ndiyo nimeitoa Kwao na ungekuwa na Akili sawa sawa pale nilipoweka tu chanzo cha Taarifa hii kuwa ni wao ( The CITIZEN ) basi haraka sana ungeenda huko ili ukajiridhishe zaidi.

Hata hivyo kutokana na Kuliamini mno Gazeti hilo la The CITIZEN yawezekana Wewe ndiyo ukawa hujui vyema Hesabu na pengine hata ' current rate ' ya Dola ya Kimarekani na ndiyo maana umekurupuka hivi utadhani Kinyesi cha Alfajiri huku ukiwa na ' Agenda ' yako binafsi.

Nasisitiza tena kwa Habari ilivyoandikwa na Mtandao wa Gazeti bora, zuri, makini na lililosheheni Uweledi wa hali ya juu kabisa na ninaloliamini la The CITIZEN wameandika Dola za Kimarekani Milioni 230 ni sawa na Shilingi Bilioni 23 za Kitanzania hivyo Wewe baki na Hesabu zako za Akili zako hizo za ' Kipa Katoka ' na tuachie Sisi tunaoliamini / tunaowaamini The CITIZEN tafadhali.
 
Mkuu, mbona mng'ato amekosoa kistaarabu tu! Sidhani kamamanstahili maneno haya makali. Umeleta mada nzuri na makini sana lakini ni kama vile unaanza kuiwekea walakini kwa wewe fulani kutanua wigi wa aina fulani ya comments na maneno.

Uzi mzuri ila nafikiri mleta mada hahitaji michango yetu. Ngoja tumuachie achangie mwenyewe.
 
Back
Top Bottom