mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 250
zamani mzazi alipokuwa akimlaani mwanae alikuwa anasema ataokota makopo(chupa za maji) lkn leo hii kazi hiyo imekuwa sio laana tena bali ni ajira, je hawa nao wamelaaniwa na rais? watz hali zetu ni mbaya maisha ya laana yamekuwa ni maisha ya kawaida.