Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nimekuwa nikifuatilia Mikitano ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Mwigulu Nchemba . Huwa anaongozana na Kijana aliyemwagiwa Tindikali Igunga, kisha kupelekwa India na CCM (Ingawa naamini kwa fedha za Serikali). Huyu jamaa amekuwa ni moja kati ya Sera za Mwigulu. Nikimwangaliaga huyu jamaa huwa namuonea Huruma anavyotembezwa Majukwaani na Mwigulu. Najiuliza
1. Hivi hii inamsaidia Mwigulu na CCM kweli?
2. Kwa kuwa waliommwagia Tindikali so far hawafahamiki, na kwa kuwa Mwigulu anatembea na jamaa "Kipropaganda zaidi" , je haoni kwamba inamfanya jamaa badala ya Kuonewa Huruma na Wananchi anaonekana Mpuuzi anayekubali "Kutembezwa" na Mwigulu kipropaganda
3. Does this add any value to CCM Campaign au inazifanya zionekane ni Propaganda?
4. Je huu si Udhalilishaji
5. Any way au tuulize " Jamaa analipwa Kiasi Gani"?
6. Je haitaonekana kwamba CCM wanamganda kada wao ambao inaaminika wao ndio waliomwagia Tindikali ili Watengeze Filamu ambayo Mwigulu anatembea Kuiuza
Mimi nauliza tu kwamba je Ile Filamu ya Mwigulu Igunga ndio imetoka sasa na Jamaa anauza CD kupitia Majukwaa ya Siasa
Nyingine
Labda Swali la Kujiuliza "UTU" Is this Guy Comfortable?
1. Hivi hii inamsaidia Mwigulu na CCM kweli?
2. Kwa kuwa waliommwagia Tindikali so far hawafahamiki, na kwa kuwa Mwigulu anatembea na jamaa "Kipropaganda zaidi" , je haoni kwamba inamfanya jamaa badala ya Kuonewa Huruma na Wananchi anaonekana Mpuuzi anayekubali "Kutembezwa" na Mwigulu kipropaganda
3. Does this add any value to CCM Campaign au inazifanya zionekane ni Propaganda?
4. Je huu si Udhalilishaji
5. Any way au tuulize " Jamaa analipwa Kiasi Gani"?
6. Je haitaonekana kwamba CCM wanamganda kada wao ambao inaaminika wao ndio waliomwagia Tindikali ili Watengeze Filamu ambayo Mwigulu anatembea Kuiuza
Mimi nauliza tu kwamba je Ile Filamu ya Mwigulu Igunga ndio imetoka sasa na Jamaa anauza CD kupitia Majukwaa ya Siasa
Nyingine
Labda Swali la Kujiuliza "UTU" Is this Guy Comfortable?
Last edited by a moderator: