Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
CCM haitatoka madarakani?!!! Hahahaa... I know and you know you are joking. Anza tu kuandaa "nondo" za kuichachafya serikali ijayo, ambapo CCM mkijipanga vizuri mtakuwa chama kikuu cha upinzani...Tanzania haiko tena kwenye siasa na uchumi wa enzi za Horance Kolimba. Kama kwako siasa za cherry picking ndiyo siasa mbadala, basi unauharali wa kufikiria hivyo.
CCM haitatoka madarakani kwa empty wishes kwa sababu CCM iko madarakani kwa sababu ya effectuate and fulfilment.