habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
Yani huwa nikiwaza mbinu wanazotumia kina Mwigulu na Nape kuendesha propaganda, natamani CCM itoke tu madarakani walau ikapate nafasi ya kujipanga, maana hawa jamaa wanaiua...
kwa hiyo unapenda mbinu za lwakatare na sa8 za kulisha watu sumu?