Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Kwa hii serekali ya CCM inakotupeleka sasa kuna uwezekano mkubwa tukawa na mawaziri wazungu, its easy litakuja jitu lina mihela yake (si unajua wasivyojiweza wakiskia pesa??) likianza kuzimwaga tu chamani watalitafutia kanafasi huko juu.Si mmeona jinsi wadosi wanavyotumia hela zao kuingia serekalini?wote hao wanajidai ni wabongo lakini ukienda kwa Rostam na Dewji utakuta passport zao za kihindi.