Hao ndio CCM bwanaCartoon Ni Kwa hisani ya This Is Africa.View attachment 1264706
Tatizo kuna wala mabaki,wanadhani mabaki ndio stahiki yaoHuyo dogo hapo chini angekuwa anajitambua angetafuta panga na kukata mguu moja tu wa kiti na kuumilikii, tosha kabisa kumfanya huyo mroho kujifikiria upya. Mguu unaweza kuwa Bunge, Mahakama, Jeshi au Wananchi kwa umoja wao.