barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,322
- 29,583
HABARI.
Nimekuwa nikisikia watu ktk mazungumzo kuwa hifadhi ya barabara ni mita 120, wengine 60 na wengine na namba zao ilimradi tu kila mtu kasema lake.
Je hifadhi ya barabara ni umbali gani toka barabara husika na hicho kipimo ni kianzia upande mmoja au ni pande zote mbili?? Namaanisha, kwa mfano unaposema mita 120 hizi ni zinagawanywa nusu 60 upande mmoja na nusu myingine 60 upande wa pili au ni upande mmoja tu yote 120? Na je, huo umbali unaanzia kupimwa katikati ya barabara au kwenye kingo za barabara??
Nimekuwa nikisikia watu ktk mazungumzo kuwa hifadhi ya barabara ni mita 120, wengine 60 na wengine na namba zao ilimradi tu kila mtu kasema lake.
Je hifadhi ya barabara ni umbali gani toka barabara husika na hicho kipimo ni kianzia upande mmoja au ni pande zote mbili?? Namaanisha, kwa mfano unaposema mita 120 hizi ni zinagawanywa nusu 60 upande mmoja na nusu myingine 60 upande wa pili au ni upande mmoja tu yote 120? Na je, huo umbali unaanzia kupimwa katikati ya barabara au kwenye kingo za barabara??