najua mmewahi kusikia sehemu ya wimbo maarufu wa Dr Remmy uitwao "Kifo" isemayo ".... kifo ungeonekana ungekuwa tajiri sana..... kifo tungekupa rushwa, kusudi tuishi milele...."
je, kwa hapo tunaweza kuhitimisha kuwa
1. mwanamuziki huyu aliunga mkono rushwa?
2. alikuwa muumini wa dhana za machieveli kwamba kwa kuwa rushwa huleta utajiri, basi, "the end justifies the means"?
RIP ramadhani mtoro ongala aka Dr Remmy
je, kwa hapo tunaweza kuhitimisha kuwa
1. mwanamuziki huyu aliunga mkono rushwa?
2. alikuwa muumini wa dhana za machieveli kwamba kwa kuwa rushwa huleta utajiri, basi, "the end justifies the means"?
RIP ramadhani mtoro ongala aka Dr Remmy