Je Haya Ya Jk Ni Ya Kweli???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,947
22,098
assalam alheikum wana ndugu nipmepata hii email imenishtua kidogo hata kama ni mkenya bado nina hamu kubw na uchungu kwa watanzania wenzangu nauliza haya ni ya kweli????

KASHFA NZITO YA KIKWETE. NGONO!

Baada ya kusoma kwa makini kwa siku nne mfululizo,kwenye forum yetu hiitukufu, na baada ya kuona kuwa uongozi wa forum hiitukufu umeamua kuwa kilaanayeona uovu wa viongozi wa kisiasa na haswawenyeviti wa vyama vya siasaana haki ya kuleta ujumbe wake hapa bila kubugudhiwakitu ambachonakiheshimu sana kwenye ujenzi wa demokrasia na piahaki ya kupata habarikwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano yaTanzania ibara ya 18. Na pia nimeguswa kuandika ujumbe huu kutokana na kilenilichokiona kwenyegazeti la majira la jana (front page) na pia kauliiliyotolewa na katibumkuu wa CCM ndugu Makamba kuunga mkono hoja iliyowekwahapa forum nawanachadema! Kama ilivyorushwa kwenye taarifa yahabari ya channel ten janasaa moja jioni . Makamba alisema kuwa viongozi wa upinzani waachekurusha mawe ile hali waowako wakiishi kwenye nyumba za vioo!nimeshtuka nakuogopa kama huyu ndioanatakiwa kuonyesha njia ya kuweza kufikia maisha borakwenye taifa hili ,nashindwa kuamini kuwa huyu ndio dereva wa chamatawala ! Leo nimeona niweke ushahidi wangu hapa juu ya ufisadiwa ziada na au uovuuliotendwa na JK pamoja na timu yake wakati wa kuwaniakuteuliwa na chamachake, na pia jinsi alivyotumia cheo chake cha waziriwa mambo ya njekuendekeza ngono na kulisababishia taifa hili madharamakubwa ikiwa nipamoja na mahusiano ya kidiplomasia kuwa mabaya. Naanza kuweka hoja zangu na ushahidi wake kamaifuatavyo, 1.Kikwete wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea waCCM ,aliunda timu zaaina mbalimbali ila kwa hapa nazungumzia timu yake yauharamia ambayoaliiunda, aliunda timu ya kuwafanyia maasi wagombeawenzake na mojawapo nihii iliyokuwa inaongozwa na mtu anayeitwa Gogo kutokakule Bagamoyo. Huyu alinunuliwa gari aina ya Nissan patrol ,na ndiomwanzo alitumika kupitakwenye misikiti mbalimbali na kutengeneza mtandao wakiislamu,ila huyu Gogondio alihusika na aliongoza kikosi kilichohusikakumpora mke wa mzeeMalecela fedha taslimu zaidi ya milioni mia mbiliwakati anatoka dar kwendadodoma kwa ajili ya kampeni. ENEO LA GAIRO. Gogo akiwa na vijana wenzake walimteka mama Kilangonje kidogo ya mji wamorogoro na kumpora fedha hizo na pia kumfanyia mamboya ajabu ambayo kwamtu mzima kama mimi siwezi kuyaandika hapa.(ushahidiupo na nitautoa mudawowote kama utahitajika hapa ,niandikie kwenye PMyangu.) 2.Akiwa waziri wa mambo ya nje mwaka 2004 alipokwendanchini marekanikuiwakilisha nchi kwenye kikao cha UN alifanya ngonona aliyekuwa waziri wamambo ya nje wa Uganda kitu kilichowafanya kutokuwezakuhudhuria mkutano kwasiku mbili mfululizo, na ndipo rais musevenalimwandikia rais mkapa rasmimalalamiko yake na pia alimtimua kazi waziri huyo . Hili linaifanya nchi yetu kutokuwa na mahusiano mazurina serikali ya Ugandana haswa kati ya Kikwete na Museven na hililimechangia kwa kiasi kikubwahata kutokufikiwa kwa shirikisho kwani Musevenanaamini kuwa hawawezikujadili mambo serious na JK kutokana na kutokwendakuwakilisha nchi nabadala yake ikawa ni kwenda kufanya ngono na wazirialiyetumwa na nchinyingine bila hata aibu. 3.Kikwete akiwa na swahiba wake wa karibu anayeitwaJack Gotham,wakiwamaeneo ya millennium towers hotel kijitonyama,walimchukua binti wamfanyibiashara mmoja wa jijini ambaye alikuwa anasomashahada ya kwanza chuokikuu cha DSM na kufanya naye ngono hapohapo hotelinina kumfanya kuchelewakwenda kwenye ziara za kampeni kwani kipindi hikikilikuwa ni wakati wamchakato wa kampeni ukiwa unaendelea. Huyu anaacha hata masuala ya maana na kwenda kumchukuabinti wa rafiki yakeambaye amemchangia kiasi kikubwa cha fedha za kampenizake na kufanya nayengono. 4.Fedha chafu.Kikwete aliingiza nchini kiasi kikubwa sana cha fedhachafu kutoka kwenyenchi za uarabuni na nyingine alizitoa Jamhuri waKidemokrasia ya Congo(DRC)kutoka kwa Joseph Kabila na fedha hiziziliingizwa kupitia mkoaniKigoma na nyingine ziliingilia mkoani Mwanza .Ujumbe wa watu wa kongo uliongozwa na Luten JeneraliPeter Gessimba Gabonneakiwa na wasaidizi wake watatu ambao walikuwa niviongozi wa jeshi tiifu kwaKabila.Fedha hizi zilitolewa kwa masharti kuwa endapoangeshinda ni lazimaahakikishe kuwa Kabila naye anashinda kule Congo kituambacho alikifanya nahata kutumia pesa za taifa hili kwa ajili ya uchaguziwa congo kwa walemnaokumbuka Asha Rose Migiro alisema kiasi cha pesazilizotolewa na misaadamingine …….. 5.Ngono.JK akiwa na maswahiba wa mwanae wa karibu waitwaoBenno (huyu kwa sasaanagombea ujumbe wa NEC ndani ya chama chetu),Said(huyu ni msaidizi maalumuwa kumsaidia mzee Makamba) ,Mussa (huyu alikuwa nikiongozi mwandamizi wambio za mwenge mwaka huu), na Sisko (huyu ni chiefprotocol wa ikulu)wakiwakwenye club mojawapo jijini dar,(ipo mkabala na redcross-barabara yaAlhassan mwinyi) kabla ya mchakato wa kampeni kuanzarasmi walimchukua bintianayeitwa Hadija ……aliyekuwa anasoma UDSM na pia nimfanyibiashara wa mjiniArusha, ila alikuwa pia ni mke wa aliyekuwa menejamsaidizi wa kituo kimojacha kimataifa nchini , na kufanya naye ngono . Kitendo hiki kilimfanya Hadija kuachika /kuachwa namumewe na kumnyanganyamagari pamoja na mtaji kitu kilichopelekea binti huyukuishi kwa taabu hadiJK alipoweza kushinda urais wa nchi na kumpangishianyumba maeneo yaKijitonyama ambako anaishi hadi sasa.Pia JK alimwamuru Benno ambaye ni afisa mwajiri wajumuiya ya UVCCMkumwajiri bint huyu makao makuu na kwa sasa ameajiriwakama katibu wauhamasishaji wa taifa cheo ambacho hakipo hata kwenyekatiba ya umojahuo,kwa toleo la 2003 ambalo ninalo hapa. 6. Ngono ,Alifanya ngono iliyoligharimu taifa hili zaidi yashilingi milioni mia nneNa themanini, (480 milioni) akiwa kule Zanzibar HotelKempinski palealipokuja na mkewe mpya kutoka uarabuni na kukaa nayekwenye mapumzikohayo ambayo yaliliingizia taifa hasara hiyo kwa mudawa siku 9 tuu.Mkuu wetu wa nchi anatumia rasilimali zetu kwa ajiliya kujistareheshayeye binafsi na wanawake zake kutoka huko uarabuni. 7.Ubadhirifu.Aliweza kujichukulia eneo ndani ya mbuga za wanyamakule Serengeti nasasa anajenga hotel ya kisasa nah ii anaijenga yeyekwa ubia na mkewake huyo wa uarabuni akishirikiana na mashemeji zakehao , swali lakujiuliza ni je?huu mkataba hautaishia kwenye kuliuzataifa hili?Mke anaenda kupewa mahari ya rasilimali zetu? Kamakila rais akioa nisharti atoe sehemu ya mbuga zetu je? Mpaka linitutakuwa tunachezeataifa kwa faida za kuoa ama kupata ngono! Huyu ndio mwenyekiti wa chama chetu na bado tunamwonakama malaikaaliyetoka mbinguni kama sio kuzimu! Nitakuja na taarifa pia za kina juu ya ndugu Nchimbiambaye naambiwakuwa anaweza kuwa ndio katibu mkuu wa chama chetu,jambo ambalo miminalipinga kwa nguvu zote kwani huyu naye anaendeleakufanya mambo yaaibu na wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya umma nchini. Ni mimi mwanachama mtiifu na mpenda maendeleo ya chamachetu kitukufu
 
aku mi nauliza tu bado na ukinchoka usinjibu

Hili la TISCAN linafahamaika vizuri sana na BWM aliamua kwa ujeuri wa hongo baada ya kupewa recommendations na rafiki yake Jerry Rawlings wa Ghana, na kuamua against the recommendations of his own intelligence officers. BWM alipelekewa hiyo ripoti kuhusu mbinu na tabia za COTECNA ambao wanajiita TSCAN na ripoti ilieleza kwa undani mbinu chafu za Cotecna failures zao kule Ghana,
TISCAN ni jina bandia linatumika na COTECNA kuficha madhambi yake, na representative wao Tanzania (former katibu mkuu) ndiye aliwaambia wabadilishe jina na hii baada ya ku-tender kama COTECNA. Kwa hivyo technically TISCAN NEVER tendered for Container Scanning Services na TRA, Central Tender board wanajua hili .
Baada ya BWM kupewa ripoti na makachero wake yeye badala ya kuamua akawatupia mpira TRA na kuwaambia waoTRA waamue la kufanya. TRA pia waka amuriwa kupitia wizara ya fedha Yona akiwa waziri,waende wakaone shughuli za container scanning zinavyofanywa Ghana, kumbe ni mpango wa COTECNA through BWM.
The Commissioner General of TRA wakati huo marehemu Sanare, baada ya kuelezwa madhambi ya COTECNA akaweka ngumu na kusema hawa Cotecna hawapati hiyo contract. Masikini kumbe Sanare kajichongea, kwa vile wahenga wasema "penye fedheha penyeza rupia". Kumbe zengwe likawa linapikwa Sanare aondolewe TRA, kwa vile yeye ndiye analeta kauzibe, wakati list yote ya wazito pale Mapato House na Matumizi House wameshalainishwa! Basi Sanare ikabidi ahamishiwe PM's office. Sasa kabla ya Sanare kuondoka akambiwa pesa hizi hapa mzee, weka mkono mambo yaende mbele.Wewe unaondoka, mkataba utasainiwa na pesa utazikosa. Sasa amua kusuka au kunyoa!The last contract Sanare signed before he left the office was Cotecnas contract pamoja na hilo jamaa wakamtolea nje. Kwa kumkomoa zaidi, wale aliokuwa amewafanyia kauzibe TRA, wakaamua kumnyan'ganya hata gari lake na kutaka kumfukuza kwenye nyumba hadi EL akaingilia na kuamua kumuuzia nyumba wakati yuko mahututi! Sanare amekufa na frustrations za kunyanyaswa na wenzake TRA kwa vile alikataa kucheza dili zao !

Issue ya TScan siyo siri wala lolote, data zote zipo na zinajulikana, zengwe lililochezwa hata usalama wa taifa wanalijua na walimweleza BWM kama rais atoe uamuzi lakinia he acted otherwise. Yaania hata VIN number ya hilo gari lao la Scanning inajulikana. Liko re-fubrished kwa vile baada ya kupinduka Ghana lilipelekwa Ujerumani kukarabatiwa. Bei ya hilo gari imezidishwa zaidi ya mara tatu ya jipya wakati ni used. Halafu la kusikitisha ni kuwa undeshaji wa scanner hiyo TRA officials hawausiki. Risk management and assessment na profiling of importers TRA kwao ni ndoto wanawategemea TISCAN!

Lingine linaloudhi ni hili, TIScan are supposed to do Destination Inspection na hii ndiyo ilikuwa kigezo cha kuanzisha hiyo scanning. This was supposed to replace Pre-Shipment Inspection. Hadi leo hii vyote vinafanywa na kampuni hiyo hiyo, TISCAN + COTECNA. Wewe leo unatumia pesa zako ulizozihenyea huku nje, na ukatuma mzigo wa vitabu ambao haulipiwi kodi lakini bado utalipishwa 1.2% ambayo TScan wanapewa 0.8% kwa nini.
Did you know that TISCan collects 0.8% of the value of all imports to Tanzania and it is the LAW !!! na 0.4% wanachukua BOT! Na TISCAn wana mkataba wa miaka 10+!!

Amakweli nchi ime
 
Dah! PDidy post yako ndefu kichizi! Ungeweka points tu. Halafu mbona wajikanyaga, umesema we mKenya, bdae tena unasema JK anakula 'nchi yetu' kama mTZ!
 
Pdidy post yako kwa mpangilo ilivyo, haisomeki. Hebu chukuwa time kui edit na kuipanga vizuri au kama umei copy na kui-paste basi tupe link. Ahsante, pole kwa usumbufu.
 
assalam alheikum wana ndugu nipmepata hii email imenishtua kidogo hata kama ni mkenya bado nina hamu kubw na uchungu kwa watanzania wenzangu nauliza haya ni ya kweli????

Na kweli, mbona unajichanginyi?
 
Kama habari ni ya zamani lakini kuna maswali hayajajibiwa basi inafaa kujadiliwa.

Kuhusu mkenya nafikiri hamjasoma vizuri, PDidy ame present maandiko kama yalivyotolewa na muandishi ambaye ni mkenya mwenye kufuatilia ushabiki wa JK.Sioni tatizo na uraia wa mtu as long as content ni za maana.Hubert Sauper alitingisha na documentary yake yenye expose ya "Darwin's Nightmare lakini atu tulimkubali kwa sababu ali expose udhaifu katika system yetu.

Swali ni kuwa Kiwete kweli alihatarisha usalama na heshima ya Tanzania? Kikwete ni kweli alihusika katika kumpora Mama Kilango?

Maswali haya ya muhimu hayajajibiwa kikamilifu na yanafanya mjadala huu kuwa bado wa muhimu.Kuna mentality ya "ku-break news" halafu kuziacha zinaelea huku tukitafuta "the next scoop".Kama hatufanyii kazi hizi habari tunazoanzisha tutakuwa tunazunguka katika hii vicious cycle of bad leadership and povery milele.

Kuna watu tunaanza kuwashtukia wanakuwa kama mouthpiece ya JK humu, yaani mtu hawezi kumsema JK hata kwa kitu kimoja, kila siku sifa za JK, wanatupa mashaka kuhusu objectivity zao.Hata mie critic wa JK nimempa credit kwenye issue ya watu kurudisha pesa za EPA, ingawa mengi yanatakiwa kufanyika bado lakini ni mwanzo mzuri.Objectivity katika michango ni muhimu tusije kuwa tuna changia kwa bias kiasi kwamba hata kabla hujasema kitu watu wanajua utasema nini, it is boring and unintelligent.
 
NI KWELIII, Sioni ajabu, kwa mkuu wetu, kwasababu bila kupitia huko hujaumbika,Kwani ana uzee gani hapo alipo, ukiacha alipokuwa waziri wa mambo ya nje, mwacheni kama kutumia ni haki yake,tunashukuru mungu viongozi wetu wote ni safi, kwani hawaibi ila wanachukua, mwenyezi mungu awape maisha marefu kufaidi Tanzania yao.na sisi vibarua wao tupo kuwaimbia nyimbo za kuwatukuza, na kuwaenzi........lakini,lakini siku tukigundua kumbe ni manyan'gau, cha moto watakiona .
 
Back
Top Bottom