NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 316
- 364
Habari wana JamiiForums, naomba msaada wa utambuzi wa mawe haya naweza ikawa ni mawe ya thamani, kwa sababu
1. Ni mazito tofauti na mawe ya kawaida ukubwa huo
2. Ataukiyaga yana toa chembe chembe za kung'aa sana
1. Ni mazito tofauti na mawe ya kawaida ukubwa huo
2. Ataukiyaga yana toa chembe chembe za kung'aa sana