Je, haya mawe ni mali?

NITAKUKAMATA TU

JF-Expert Member
Aug 26, 2021
316
364
Habari wana JamiiForums, naomba msaada wa utambuzi wa mawe haya naweza ikawa ni mawe ya thamani, kwa sababu
1. Ni mazito tofauti na mawe ya kawaida ukubwa huo
2. Ataukiyaga yana toa chembe chembe za kung'aa sana

IMG_20210824_094811_068.jpg


IMG_20210824_094719_534.jpg


IMG_20210824_094850_547.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom