Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Nimejiunga na jamii forums tangu mwezi wa tisa,
lakini kuna kitu nimejifunza hapa jamvini.
Kuna watu thread zao hata kama sio za moto zitaopewa thanks kibao, hadi utashangaa.
Nyani Ngabo, Mwanakijiji, First Lady .......
watu wa aina hiyo.
Je wao ni malaika wa hapa Jamii Forums?
lakini kuna kitu nimejifunza hapa jamvini.
Kuna watu thread zao hata kama sio za moto zitaopewa thanks kibao, hadi utashangaa.
Nyani Ngabo, Mwanakijiji, First Lady .......
watu wa aina hiyo.
Je wao ni malaika wa hapa Jamii Forums?