Je, Hatuna Wanawake wa kutosha kukidhi 50/50 au kuna kosa?

Wanabodi,

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Kila nipatapo fursa, huwa naendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zina lengo la kukuza uzalendo na kulisaidia taifa letu, kusaidia nchi yetu, kusaidia serikali yetu na kusaidia viongozi wetu waweze kutuongoza vizuri kwa kuangazia maeneo yenye changamoto ili zitatuliwe. Makala ya leo ni hoja na swali.

Hoja ni "Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa", hoja hii inakuja kwasababu hatuongozwi na malaika, tunaongozwa na binadamu, katika kuongoza huko, huweza kufanyika makosa ya hapa na pale. Hivyo hata kukifanyika makosa, kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa.

Hoja hii inakuja kwa tangu rais Samia ashike usukani, juzi ndio amefanya uteuzi wake mkubwa wa kwanza wa viongozi wengi kwa mpigo. Kwenye uteuzi huu, kuna idadi ndogo ya wanawake, na ndipo kwenye swali, "Jee ni kweli Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa za uongozi kustahili uteuzi?. Kwa maoni yangu japo uteuzi huu una walakin ya idadi ndogo ya wanawake, yaani gender imbalance, Rais Samia hajafanya kosa, bali akirudia idadi ndogo hivi kwa ma DC, RAS, DED na ma DAS, then, litakuwa ni kosa!.

Lazima tukubali, tukatae, kwenye gender balance kule nyuma, kuna makosa yalifanyika. Sasa ni jukumu letu sisi tuliobahatika kuyaona makosa hayo ya nyuma, ambayo Rais Samia ameyarithi, tumsaidie, rais Samia, kwa kuyaangazia makosa hayo, ili rais Samia asiyarudie makosa ya nyuma kwa spirit ile ile ya kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa, kwenye uteuzi wa maRC kuna kosa la gender balance, kwa vile sasa wanakuja ma RAS, wanakuja ma DED, wanakuja ma DC, wanakuja ma DAS, tumsaidie Tanzanite Lady wetu, Mama Samia, huko mbele, tusirudie makosa!.

Kabla haujasoma hoja za bandiko hili, naomba nikupe homework ndogo ya kusoma bandiko langu hili

Kwenye bandiko hilo nilisema

Kwa vile Mama Samia amejitanabaisha wazi yeye ni kama JPM, kwenye upande wa uteuzi wa JPM, we had gender problem, Mama Samia, asiiendeleze.

Uteuzi wa JPM, Kwa mfano idadi ya mawaziri wanawake ni 4 tu kati ya 19, hii ni asilimia 21%. wanaume ni asilimia 79%. Kwenye Baraza la Mawaziri la Samia, lina mawaziri 25, wanawake ni 6 ambao ni asilimia 24% wanaume 19 ambao ni asilimia 76%. Hivyo hapa gender imbalance imeendelezwa!.

Kwenye uteuzi wa Wakuu wa Mikoa, kati ya wakuu wa mikoa 26 wa Magufuli, wanawake ni 4 tu ambao ni asilimia 15% wakati wanaume ni 21 ambao ni asilimia 85%!. Sasa rais Samia anapita mule mule, alikopita JPM kwenye uteuzi wa wakuu wa mikoa wa Samia ameteuwa ma RC wanawake 4 tu kati ya ma RC 25, hii ni asilimia 16% ndio wanawake na wakati wanaume ni 21 ambao wanafanya asilimia 84%!.

Kwenye wakuu wa wilaya, kati ya wakuu wa wilaya 134 wa Magufuli, wanawake ni 25 tu ambao ni asilimia 18%, wakati wanaume ni 109 ambao ni asilimia 82%. Na kwa upande wa Wakurugenzi, kati ya wakurugenzi wa halmashauri na wilaya 185 wa Magufuli, wanawake ni 33 tu!, ambao ni asilimia 17% tuu, wanaume asilimia 83%.

Kwa trend reading, kama ni kweli kabisa Samia ni kama Magufuli, then you know what to expect, kwenye uteuzi wa ma DC na Wakurugenzi. Jameni hili ni kosa, lisiachwe liendelee!, ili tufikie gender balance ya 50/50.

Kwa vile hatukumpangia JPM nini cha kufanya, hivyo nilisisitiza tangu mwanzo, hata Mama Samia, tusimpangie, lakini huku kutompangia hakumaanishi tunyamaze tuu, pale tunapoona mapungufu mahali, au mambo yanakwenda ndivyo sivyo, tunawajibu wa kumshauri ili kumsaidia.

Katika safari ya kuelekea gender balance ya 50/50 katika uongozi, mimi siamini kuwa Tanzania hatuna wanawake wa kutosha hadi uteuzi wa wanawake uwe that low!.

Kwa maoni yangu, naamini uteuzi huu wa ma RC ni mama Samia, ameendelea kubeba some luggages na baggages za mtangulizi wake. Hilo ni kosa!. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa!. JPM alifanya kosa kwenye gender balance.

Gender balance kwenye baraza la mawaziri hatuwezi kulaumu, kwasababu ili mtu uwe waziri ni lazima kwanza uwe mbunge, ikitokea hakuna wanawake wa kutosha kujaza nafasi za kufikia kiwango cha 50/50, hili litaeleweka, kwasababu Mama Samia, ameingia na kuwakuta wabunge tayari wapo, ikitokea wabunge wote hadi wa viti maalum, hawana sifa za uwaziri, hatuwezi kulaumu, kwasababu sio kosa lake. Huwezi tuu kujiteulia watu hawana sifa ili tuu kutimiza gender balance. Lakini kwenye ma RC, ma DC , ma RAS, ma DAS ns na DED, yaani Wakurugenzi, haiwezekani Tanzania ndani ya hii milioni 60, wakakosekana wanawake wenye sifa.
Hitimisho
Naamini rais Samia, kaletewa majina na kuongeza wachache tuu, hivyo sasa tunamuomba, kwenye ma DC, ma RAS, ma DED na ma DAS, awatendee haki wanawake wa Tanzania.

Nisimalize bila kumpongeza Mama Samia kwanza kwa ku heal the nation kwa kutenda haki, na pili ni pongezi kwa kuyaishi maneno yake ya kuteua yoyote hata kutoka upinzani.

Tanzania ni yetu sote,
Mungu mbariki Mama Samia.
Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
Mzee Mayala wakati mwingine huwa unakurupuka sana ...sijui ni umri na ugumu wa maisha? Gender balancing kwenye teuzi sidhani kama ipo kwenye criteria ...na ni kosa sana kumwacha mtu fulani kushika nafasi fulani kwa kisingizio cha usawa wa kijinsia. Mzee Mayala tafakari.
 
Mkuu Pascal, Mama kakujibu kwenye hotuba yake baada ya kuapisha majaji. Kumbe anatusoma.

Hi ni fursa kwetu wana JF tusio weza kuonana live na Rais kutumia vizuri mtandao huu kumfikishia maoni/ushauri.
 
Japo wametumia Neno kuteua bali lilichofanyika ni kubadilisha tu vituo vya kazi! Hakuna jipya! Kwa hio kwa mtazamo wangu hajafanya chochote kile cha kushangaza, the same kwa DCs huenda akafanya hivyo hivyo na ni kwa sababu huwezi kuweka team mpya yote, huenda hapo mbeleni akabadilisha mdogo mdogo.

Kama Jiwe mlimpa muda wa kutupoteza na huyu pia tumpe muda tube kuona hapo mbeleni
Wakuu wa mikoa style ni "KUNYOFOA NA KUNYOFEKA "

NYOFOA HAPA NYOFEKA KULE, NYOFOA KULE NYOFEKA PALE.....🤣🤣🤣🤣🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Kwenye uteuzi huu, kuna idadi ndogo ya wanawake, na ndipo kwenye swali, "Jee ni kweli Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa za uongozi kustahili uteuzi?
Na yeye analitambua si kwamba hajui, ila nadhani kuna kitu bado anachekecha, fikiria akiteua wenye elements za wale kumi na kenda waliowasaliti wenzao kule ng'ambo ya mto, si wanaweza kumsaliti hata yeye mwenyewe siku za usoni?
 
Katiba mpya ingemaliza haya yote
Hata katiba ikiwa mpya mentality ya watu tunaowapa madaraka ni shida, kwani ile tuliyonayo hawaijui kama ni katiba? Hivi uliwahi kufikiri mtu mtu mwenye akili timamu, msomi anaweza kuitumia kuchamba?
 
Mkuu hii ni process.Kwa mfano Sweden mojawapo ya Nchi zilizo na mafanikio makubwa kwenye gender equality bado haijafanikiwa kuwa na mishahara sawa kati ya wanaume na wanawake . Wanaume wana mishahara mikubwa zaidi kwa wastani.
Baraza la mawaziri Sweden lina wanaume 11 na wanawake 11.Vyama vya siasa vipo 8.Vitano vinaongozwa na wanawake.Bado tuna safari ndefu sana kwenye gender equality.
Muhimu sana kwa sasa ni wanawake waweze kurithi wanaume zao wakifariki bila vikwazo vya mila na sheria potofu.
 
Hawa wanawake wa Tanzania waajabu sana. Kwenye nafasi za ajira na uongozi wanataka 50/50 lakini ukija kuwaambia kwenye majukumu ya kutunza familia utasikia hayo ni majukumu ya mwanaume alipewa na Mungu.
 
Mkuu hii ni process.Kwa mfano Sweden mojawapo ya Nchi zilizo na mafanikio makubwa kwenye gender equality bado haijafanikiwa kuwa na mishahara sawa kati ya wanaume na wanawake . Wanaume wana mishahara mikubwa zaidi kwa wastani.
Baraza la mawaziri Sweden lina wanaume 11 na wanawake 11.Vyama vya siasa vipo 8.Vitano vinaongozwa na wanawake.Bado tuna safari ndefu sana kwenye gender equality.
Muhimu sana kwa sasa ni wanawake waweze kurithi wanaume zao wakifariki bila vikwazo vya mila na sheria potofu.
Tukijifunza kutoka Sweden, nadhani ipo haja ya kuandaa mfumo maalumu wa kuwajengea uwezo wa kujiamini wanawake kwenye masuala ya uongozi, nilichojifunza, wapo wanawake wenye uwezo mzuri kiuongozi, lakini wanakosa confidence.

SIjajua ni kwanini Sweden wana underpay wanawake, nilipata kuuliza hili pia sikupatiwa jibu, labda nasi tukilijua hilo linaweza kuna mahala pazuli pa kujengea mfumo wetu ili Sweden waje wajifunze kwetu.
 
Hawa wanawake wa Tanzania waajabu sana. Kwenye nafasi za ajira na uongozi wanataka 50/50 lakini ukija kuwaambia kwenye majukumu ya kutunza familia utasikia hayo ni majukumu ya mwanaume alipewa na Mungu.
😂 👩‍❤️‍💋‍👨Kuna ndoa ya rafiki yangu inayumba kwasababu kama hii, mume na mke ni watumishi wa serikali, na wote wana package nzuri kabisa, ila linapokuja suala la kununua chakula, kununua mavazi ya watoto na kuwalipia ada, mama anamwambia mumewe wewe ndiyo baba wa familia ndiyo mwenye jukumu la kuilisha, kuivisha na kuisomesha, kipato chake ananunulia 💄 🤣
 
hii issue ya 50/50 sioni faida yake....kwani nafasi za kazi ni upendeleo au weledi......hata ikitokea wanawake wae 70% then wanaume 30% sawa tu...ilimradi walio kwenye nafasi wana weledi......
 
Wanabodi,

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kila nipatapo fursa, huwa naendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zina lengo la kukuza uzalendo na kulisaidia taifa letu, kusaidia nchi yetu, kusaidia serikali yetu na kusaidia viongozi wetu waweze kutuongoza vizuri kwa kuangazia maeneo yenye changamoto ili zitatuliwe. Makala ya leo ni hoja na swali.

Hoja ni "Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa", hoja hii inakuja kwasababu hatuongozwi na malaika, tunaongozwa na binadamu, katika kuongoza huko, huweza kufanyika makosa ya hapa na pale. Hivyo hata kukifanyika makosa, kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa.

Hoja hii inakuja kwa tangu rais Samia ashike usukani, juzi ndio amefanya uteuzi wake mkubwa wa kwanza wa viongozi wengi kwa mpigo. Kwenye uteuzi huu, kuna idadi ndogo ya wanawake, na ndipo kwenye swali, "Jee ni kweli Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa za uongozi kustahili uteuzi?. Kwa maoni yangu japo uteuzi huu una walakin ya idadi ndogo ya wanawake, yaani gender imbalance, Rais Samia hajafanya kosa, bali akirudia idadi ndogo hivi kwa ma DC, RAS, DED na ma DAS, then, litakuwa ni kosa!.

Lazima tukubali, tukatae, kwenye gender balance kule nyuma, kuna makosa yalifanyika. Sasa ni jukumu letu sisi tuliobahatika kuyaona makosa hayo ya nyuma, ambayo Rais Samia ameyarithi, tumsaidie, rais Samia, kwa kuyaangazia makosa hayo, ili rais Samia asiyarudie makosa ya nyuma kwa spirit ile ile ya kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa, kwenye uteuzi wa maRC kuna kosa la gender balance, kwa vile sasa wanakuja ma RAS, wanakuja ma DED, wanakuja ma DC, wanakuja ma DAS, tumsaidie Tanzanite Lady wetu, Mama Samia, huko mbele, tusirudie makosa!.

Kabla haujasoma hoja za bandiko hili, naomba nikupe homework ndogo ya kusoma bandiko langu hili

Kwenye bandiko hilo nilisema

Kwa vile Mama Samia amejitanabaisha wazi yeye ni kama JPM, kwenye upande wa uteuzi wa JPM, we had gender problem, Mama Samia, asiiendeleze.

Uteuzi wa JPM, Kwa mfano idadi ya mawaziri wanawake ni 4 tu kati ya 19, hii ni asilimia 21%. wanaume ni asilimia 79%. Kwenye Baraza la Mawaziri la Samia, lina mawaziri 25, wanawake ni 6 ambao ni asilimia 24% wanaume 19 ambao ni asilimia 76%. Hivyo hapa gender imbalance imeendelezwa!.

Kwenye uteuzi wa Wakuu wa Mikoa, kati ya wakuu wa mikoa 26 wa Magufuli, wanawake ni 4 tu ambao ni asilimia 15% wakati wanaume ni 21 ambao ni asilimia 85%!. Sasa rais Samia anapita mule mule, alikopita JPM kwenye uteuzi wa wakuu wa mikoa wa Samia ameteuwa ma RC wanawake 4 tu kati ya ma RC 25, hii ni asilimia 16% ndio wanawake na wakati wanaume ni 21 ambao wanafanya asilimia 84%!.

Kwenye wakuu wa wilaya, kati ya wakuu wa wilaya 134 wa Magufuli, wanawake ni 25 tu ambao ni asilimia 18%, wakati wanaume ni 109 ambao ni asilimia 82%. Na kwa upande wa Wakurugenzi, kati ya wakurugenzi wa halmashauri na wilaya 185 wa Magufuli, wanawake ni 33 tu!, ambao ni asilimia 17% tuu, wanaume asilimia 83%.

Kwa trend reading, kama ni kweli kabisa Samia ni kama Magufuli, then you know what to expect, kwenye uteuzi wa ma DC na Wakurugenzi. Jameni hili ni kosa, lisiachwe liendelee!, ili tufikie gender balance ya 50/50.

Kwa vile hatukumpangia JPM nini cha kufanya, hivyo nilisisitiza tangu mwanzo, hata Mama Samia, tusimpangie, lakini huku kutompangia hakumaanishi tunyamaze tuu, pale tunapoona mapungufu mahali, au mambo yanakwenda ndivyo sivyo, tunawajibu wa kumshauri ili kumsaidia.

Katika safari ya kuelekea gender balance ya 50/50 katika uongozi, mimi siamini kuwa Tanzania hatuna wanawake wa kutosha hadi uteuzi wa wanawake uwe that low!.

Kwa maoni yangu, naamini uteuzi huu wa ma RC ni mama Samia, ameendelea kubeba some luggages na baggages za mtangulizi wake. Hilo ni kosa!. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa!. JPM alifanya kosa kwenye gender balance.

Gender balance kwenye baraza la mawaziri hatuwezi kulaumu, kwasababu ili mtu uwe waziri ni lazima kwanza uwe mbunge, ikitokea hakuna wanawake wa kutosha kujaza nafasi za kufikia kiwango cha 50/50, hili litaeleweka, kwasababu Mama Samia, ameingia na kuwakuta wabunge tayari wapo, ikitokea wabunge wote hadi wa viti maalum, hawana sifa za uwaziri, hatuwezi kulaumu, kwasababu sio kosa lake. Huwezi tuu kujiteulia watu hawana sifa ili tuu kutimiza gender balance. Lakini kwenye ma RC, ma DC , ma RAS, ma DAS ns na DED, yaani Wakurugenzi, haiwezekani Tanzania ndani ya hii milioni 60, wakakosekana wanawake wenye sifa.
Hitimisho
Naamini rais Samia, kaletewa majina na kuongeza wachache tuu, hivyo sasa tunamuomba, kwenye ma DC, ma RAS, ma DED na ma DAS, awatendee haki wanawake wa Tanzania.

Nisimalize bila kumpongeza Mama Samia kwanza kwa ku heal the nation kwa kutenda haki, na pili ni pongezi kwa kuyaishi maneno yake ya kuteua yoyote hata kutoka upinzani.

Tanzania ni yetu sote,
Mungu mbariki Mama Samia.
Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
Update
Hoja za bandiko hili, zimejibiwa jana na Rais, Mama Samia wakati akiapisha majaji, amesema ataongeza nafasi za wanawake kwenye teuzi zote zijazo

Hii ni habari njema, hivyo mabandiko kama haya, yanasaidia.

P
 
Wanabodi,

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kila nipatapo fursa, huwa naendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zina lengo la kukuza uzalendo na kulisaidia taifa letu, kusaidia nchi yetu, kusaidia serikali yetu na kusaidia viongozi wetu waweze kutuongoza vizuri kwa kuangazia maeneo yenye changamoto ili zitatuliwe. Makala ya leo ni hoja na swali.

Hoja ni "Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa", hoja hii inakuja kwasababu hatuongozwi na malaika, tunaongozwa na binadamu, katika kuongoza huko, huweza kufanyika makosa ya hapa na pale. Hivyo hata kukifanyika makosa, kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa.

Hoja hii inakuja kwa tangu rais Samia ashike usukani, juzi ndio amefanya uteuzi wake mkubwa wa kwanza wa viongozi wengi kwa mpigo. Kwenye uteuzi huu, kuna idadi ndogo ya wanawake, na ndipo kwenye swali, "Jee ni kweli Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa za uongozi kustahili uteuzi?. Kwa maoni yangu japo uteuzi huu una walakin ya idadi ndogo ya wanawake, yaani gender imbalance, Rais Samia hajafanya kosa, bali akirudia idadi ndogo hivi kwa ma DC, RAS, DED na ma DAS, then, litakuwa ni kosa!.

Lazima tukubali, tukatae, kwenye gender balance kule nyuma, kuna makosa yalifanyika. Sasa ni jukumu letu sisi tuliobahatika kuyaona makosa hayo ya nyuma, ambayo Rais Samia ameyarithi, tumsaidie, rais Samia, kwa kuyaangazia makosa hayo, ili rais Samia asiyarudie makosa ya nyuma kwa spirit ile ile ya kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa, kwenye uteuzi wa maRC kuna kosa la gender balance, kwa vile sasa wanakuja ma RAS, wanakuja ma DED, wanakuja ma DC, wanakuja ma DAS, tumsaidie Tanzanite Lady wetu, Mama Samia, huko mbele, tusirudie makosa!.

Kabla haujasoma hoja za bandiko hili, naomba nikupe homework ndogo ya kusoma bandiko langu hili

Kwenye bandiko hilo nilisema

Kwa vile Mama Samia amejitanabaisha wazi yeye ni kama JPM, kwenye upande wa uteuzi wa JPM, we had gender problem, Mama Samia, asiiendeleze.

Uteuzi wa JPM, Kwa mfano idadi ya mawaziri wanawake ni 4 tu kati ya 19, hii ni asilimia 21%. wanaume ni asilimia 79%. Kwenye Baraza la Mawaziri la Samia, lina mawaziri 25, wanawake ni 6 ambao ni asilimia 24% wanaume 19 ambao ni asilimia 76%. Hivyo hapa gender imbalance imeendelezwa!.

Kwenye uteuzi wa Wakuu wa Mikoa, kati ya wakuu wa mikoa 26 wa Magufuli, wanawake ni 4 tu ambao ni asilimia 15% wakati wanaume ni 21 ambao ni asilimia 85%!. Sasa rais Samia anapita mule mule, alikopita JPM kwenye uteuzi wa wakuu wa mikoa wa Samia ameteuwa ma RC wanawake 4 tu kati ya ma RC 25, hii ni asilimia 16% ndio wanawake na wakati wanaume ni 21 ambao wanafanya asilimia 84%!.

Kwenye wakuu wa wilaya, kati ya wakuu wa wilaya 134 wa Magufuli, wanawake ni 25 tu ambao ni asilimia 18%, wakati wanaume ni 109 ambao ni asilimia 82%. Na kwa upande wa Wakurugenzi, kati ya wakurugenzi wa halmashauri na wilaya 185 wa Magufuli, wanawake ni 33 tu!, ambao ni asilimia 17% tuu, wanaume asilimia 83%.

Kwa trend reading, kama ni kweli kabisa Samia ni kama Magufuli, then you know what to expect, kwenye uteuzi wa ma DC na Wakurugenzi. Jameni hili ni kosa, lisiachwe liendelee!, ili tufikie gender balance ya 50/50.

Kwa vile hatukumpangia JPM nini cha kufanya, hivyo nilisisitiza tangu mwanzo, hata Mama Samia, tusimpangie, lakini huku kutompangia hakumaanishi tunyamaze tuu, pale tunapoona mapungufu mahali, au mambo yanakwenda ndivyo sivyo, tunawajibu wa kumshauri ili kumsaidia.

Katika safari ya kuelekea gender balance ya 50/50 katika uongozi, mimi siamini kuwa Tanzania hatuna wanawake wa kutosha hadi uteuzi wa wanawake uwe that low!.

Kwa maoni yangu, naamini uteuzi huu wa ma RC ni mama Samia, ameendelea kubeba some luggages na baggages za mtangulizi wake. Hilo ni kosa!. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa!. JPM alifanya kosa kwenye gender balance.

Gender balance kwenye baraza la mawaziri hatuwezi kulaumu, kwasababu ili mtu uwe waziri ni lazima kwanza uwe mbunge, ikitokea hakuna wanawake wa kutosha kujaza nafasi za kufikia kiwango cha 50/50, hili litaeleweka, kwasababu Mama Samia, ameingia na kuwakuta wabunge tayari wapo, ikitokea wabunge wote hadi wa viti maalum, hawana sifa za uwaziri, hatuwezi kulaumu, kwasababu sio kosa lake. Huwezi tuu kujiteulia watu hawana sifa ili tuu kutimiza gender balance. Lakini kwenye ma RC, ma DC , ma RAS, ma DAS ns na DED, yaani Wakurugenzi, haiwezekani Tanzania ndani ya hii milioni 60, wakakosekana wanawake wenye sifa.
Hitimisho
Naamini rais Samia, kaletewa majina na kuongeza wachache tuu, hivyo sasa tunamuomba, kwenye ma DC, ma RAS, ma DED na ma DAS, awatendee haki wanawake wa Tanzania.

Nisimalize bila kumpongeza Mama Samia kwanza kwa ku heal the nation kwa kutenda haki, na pili ni pongezi kwa kuyaishi maneno yake ya kuteua yoyote hata kutoka upinzani.

Tanzania ni yetu sote,
Mungu mbariki Mama Samia.
Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
nilipita mtaa fulani vile nikakuta kikao cha wanawake na hoja yao ilikuwa kwamba wao wanapendezwa sana kuhudumiwa na wanamme kuliko wanawake hivyo wangependa kuona wanaumme wanakuwa wengi.labda waulizwe wanawake kwa nn wanapenda kuhudumiwa na wanaume na shida iko wapi?nadhani ukiweza kupata maoni yao si wanawake wanasiasa bali wale wa kawaida kabisa ambao niliowakuta mm basi njoo na huo ushauri.
 
Tukijifunza kutoka Sweden, nadhani ipo haja ya kuandaa mfumo maalumu wa kuwajengea uwezo wa kujiamini wanawake kwenye masuala ya uongozi, nilichojifunza, wapo wanawake wenye uwezo mzuri kiuongozi, lakini wanakosa confidence.

SIjajua ni kwanini Sweden wana underpay wanawake, nilipata kuuliza hili pia sikupatiwa jibu, labda nasi tukilijua hilo linaweza kuna mahala pazuli pa kujengea mfumo wetu ili Sweden waje wajifunze kwetu.
Hawa underpay kwa makusudi.Kazi za huduma kama waalimu,manesi,Försäkringskassan(bima ya huduma kwa jamii) kazi za maofisini ,maduka, Apotek (pharmacies),usafi ni kazi ambazo majority ni wanawake na mishahara ya kazi hizi ni ya chini kulinganisha na wanaume wanaofanya kazi zingine. Hivyo kufanya wastani wa mishahara ya wanawake kuwa chini kuliko ya wanaume.Wanapofanya kazi za aina moja mishahara huwa sawa.
 
Sweden wana sheria "samma lön för samma arbete" (mshahara sawa kwa kazi zilizo sawa) na hiyo inalindwa na sheria ya kazi inayoitwa kollektivavtal.
Muajiri anaweza kutoa mshahara wa juu zaidi kwa mojawapo ya hizi jinsia lakini ni lazima abainishe kisheria kwanini amefanya hivyo.Sababu mojawapo inaweza ikawa mmojawapo ana wajibu wa ziada kwenye hiyo kazi.Bila hivyo atashtakiwa na kulipa kiasi kilichopungua kwenye mshahara anaostahili mtu aliyeajiriwa.
 
Wanabodi,

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kila nipatapo fursa, huwa naendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zina lengo la kukuza uzalendo na kulisaidia taifa letu, kusaidia nchi yetu, kusaidia serikali yetu na kusaidia viongozi wetu waweze kutuongoza vizuri kwa kuangazia maeneo yenye changamoto ili zitatuliwe. Makala ya leo ni hoja na swali.

Hoja ni "Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa", hoja hii inakuja kwasababu hatuongozwi na malaika, tunaongozwa na binadamu, katika kuongoza huko, huweza kufanyika makosa ya hapa na pale. Hivyo hata kukifanyika makosa, kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa.

Hoja hii inakuja kwa tangu rais Samia ashike usukani, juzi ndio amefanya uteuzi wake mkubwa wa kwanza wa viongozi wengi kwa mpigo. Kwenye uteuzi huu, kuna idadi ndogo ya wanawake, na ndipo kwenye swali, "Jee ni kweli Tanzania hatuna wanawake wa kutosha wenye sifa za uongozi kustahili uteuzi?. Kwa maoni yangu japo uteuzi huu una walakin ya idadi ndogo ya wanawake, yaani gender imbalance, Rais Samia hajafanya kosa, bali akirudia idadi ndogo hivi kwa ma DC, RAS, DED na ma DAS, then, litakuwa ni kosa!.

Lazima tukubali, tukatae, kwenye gender balance kule nyuma, kuna makosa yalifanyika. Sasa ni jukumu letu sisi tuliobahatika kuyaona makosa hayo ya nyuma, ambayo Rais Samia ameyarithi, tumsaidie, rais Samia, kwa kuyaangazia makosa hayo, ili rais Samia asiyarudie makosa ya nyuma kwa spirit ile ile ya kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa, kwenye uteuzi wa maRC kuna kosa la gender balance, kwa vile sasa wanakuja ma RAS, wanakuja ma DED, wanakuja ma DC, wanakuja ma DAS, tumsaidie Tanzanite Lady wetu, Mama Samia, huko mbele, tusirudie makosa!.

Kabla haujasoma hoja za bandiko hili, naomba nikupe homework ndogo ya kusoma bandiko langu hili

Kwenye bandiko hilo nilisema

Kwa vile Mama Samia amejitanabaisha wazi yeye ni kama JPM, kwenye upande wa uteuzi wa JPM, we had gender problem, Mama Samia, asiiendeleze.

Uteuzi wa JPM, Kwa mfano idadi ya mawaziri wanawake ni 4 tu kati ya 19, hii ni asilimia 21%. wanaume ni asilimia 79%. Kwenye Baraza la Mawaziri la Samia, lina mawaziri 25, wanawake ni 6 ambao ni asilimia 24% wanaume 19 ambao ni asilimia 76%. Hivyo hapa gender imbalance imeendelezwa!.

Kwenye uteuzi wa Wakuu wa Mikoa, kati ya wakuu wa mikoa 26 wa Magufuli, wanawake ni 4 tu ambao ni asilimia 15% wakati wanaume ni 21 ambao ni asilimia 85%!. Sasa rais Samia anapita mule mule, alikopita JPM kwenye uteuzi wa wakuu wa mikoa wa Samia ameteuwa ma RC wanawake 4 tu kati ya ma RC 25, hii ni asilimia 16% ndio wanawake na wakati wanaume ni 21 ambao wanafanya asilimia 84%!.

Kwenye wakuu wa wilaya, kati ya wakuu wa wilaya 134 wa Magufuli, wanawake ni 25 tu ambao ni asilimia 18%, wakati wanaume ni 109 ambao ni asilimia 82%. Na kwa upande wa Wakurugenzi, kati ya wakurugenzi wa halmashauri na wilaya 185 wa Magufuli, wanawake ni 33 tu!, ambao ni asilimia 17% tuu, wanaume asilimia 83%.

Kwa trend reading, kama ni kweli kabisa Samia ni kama Magufuli, then you know what to expect, kwenye uteuzi wa ma DC na Wakurugenzi. Jameni hili ni kosa, lisiachwe liendelee!, ili tufikie gender balance ya 50/50.

Kwa vile hatukumpangia JPM nini cha kufanya, hivyo nilisisitiza tangu mwanzo, hata Mama Samia, tusimpangie, lakini huku kutompangia hakumaanishi tunyamaze tuu, pale tunapoona mapungufu mahali, au mambo yanakwenda ndivyo sivyo, tunawajibu wa kumshauri ili kumsaidia.

Katika safari ya kuelekea gender balance ya 50/50 katika uongozi, mimi siamini kuwa Tanzania hatuna wanawake wa kutosha hadi uteuzi wa wanawake uwe that low!.

Kwa maoni yangu, naamini uteuzi huu wa ma RC ni mama Samia, ameendelea kubeba some luggages na baggages za mtangulizi wake. Hilo ni kosa!. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa!. JPM alifanya kosa kwenye gender balance.

Gender balance kwenye baraza la mawaziri hatuwezi kulaumu, kwasababu ili mtu uwe waziri ni lazima kwanza uwe mbunge, ikitokea hakuna wanawake wa kutosha kujaza nafasi za kufikia kiwango cha 50/50, hili litaeleweka, kwasababu Mama Samia, ameingia na kuwakuta wabunge tayari wapo, ikitokea wabunge wote hadi wa viti maalum, hawana sifa za uwaziri, hatuwezi kulaumu, kwasababu sio kosa lake. Huwezi tuu kujiteulia watu hawana sifa ili tuu kutimiza gender balance. Lakini kwenye ma RC, ma DC , ma RAS, ma DAS ns na DED, yaani Wakurugenzi, haiwezekani Tanzania ndani ya hii milioni 60, wakakosekana wanawake wenye sifa.
Hitimisho
Naamini rais Samia, kaletewa majina na kuongeza wachache tuu, hivyo sasa tunamuomba, kwenye ma DC, ma RAS, ma DED na ma DAS, awatendee haki wanawake wa Tanzania.

Nisimalize bila kumpongeza Mama Samia kwanza kwa ku heal the nation kwa kutenda haki, na pili ni pongezi kwa kuyaishi maneno yake ya kuteua yoyote hata kutoka upinzani.

Tanzania ni yetu sote,
Mungu mbariki Mama Samia.
Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
Update
Hoja za bandiko hili, zimejibiwa jana na Rais, Mama Samia wakati akiapisha majaji, amesema ataongeza nafasi za wanawake kwenye teuzi zote zijazo

Hii ni habari njema, hivyo mabandiko kama haya, yanasaidia.

P

1621327472677.png
 
Mkuu hii ni process.Kwa mfano Sweden mojawapo ya Nchi zilizo na mafanikio makubwa kwenye gender equality bado haijafanikiwa kuwa na mishahara sawa kati ya wanaume na wanawake . Wanaume wana mishahara mikubwa zaidi kwa wastani.
Baraza la mawaziri Sweden lina wanaume 11 na wanawake 11.Vyama vya siasa vipo 8.Vitano vinaongozwa na wanawake.Bado tuna safari ndefu sana kwenye gender equality.
Muhimu sana kwa sasa ni wanawake waweze kurithi wanaume zao wakifariki bila vikwazo vya mila na sheria potofu.
Sweden wana sheria "samma lön för samma arbete" (mshahara sawa kwa kazi zilizo sawa) na hiyo inalindwa na sheria ya kazi inayoitwa kollektivavtal.
Muajiri anaweza kutoa mshahara wa juu zaidi kwa mojawapo ya hizi jinsia lakini ni lazima abainishe kisheria kwanini amefanya hivyo.Sababu mojawapo inaweza ikawa mmojawapo ana wajibu wa ziada kwenye hiyo kazi.Bila hivyo atashtakiwa na kulipa kiasi kilichopungua kwenye mshahara anaostahili mtu aliyeajiriwa.
Mkuu Tui, which is which?.
Mimi nimefanya kazi FCO (Foreign Commonweath Office) ya UK. Hii ni equal opportunity employer, mishahara inalingana kwa kazi za aina moja, ila kwenye allowances kuna tofauti, spouse allowance inatolewa kwa wanaume tuu, under the presumption mke yuko nyumbani kwa kazi ya kulea. Child child support pia inatolewa kwa wanaume tuu. Mke hata kama una mume, hulipwi spouse alowances wala child support, unless kama ni single mother!. Ili mke ulipwe spouse alowance, kwenye gender uonyeshe wewe ni trans gender, na wewe ndio mume na umeoa kwenye same sex marriage na mkeo yuko home, utalipwa!.
P
 
Bwana mdogo Tanzania hakuna chama cha upinzani bali ni matawi ya CCM
CCM iondoke kwanza ndio nchi hii itaweza kufanya mabadiliko ya maana kuanzia kwenye katiba na kwenye maeneo mengine.

Kwenye teuzi, Mama Samia hana jipya na anaharibu tu na hata haya mambo ya wanawake kupewa nafasi hayana maana.

Covid 19 wamethibitisha wanawake ni mzigo hivyo hawastahil kubebwa.
 
Mkuu Tui, which is which?.
Mimi nimefanya kazi FCO (Foreign Commonweath Office) ya UK. Hii ni equal opportunity employer, mishahara inalingana kwa kazi za aina moja, ila kwenye allowances kuna tofauti, spouse allowance inatolewa kwa wanaume tuu, under the presumption mke yuko nyumbani kwa kazi ya kulea. Child child support pia inatolewa kwa wanaume tuu. Mke hata kama una mume, hulipwi spouse alowances wala child support, unless kama ni single mother!. Ili mke ulipwe spouse alowance, kwenye gender uonyeshe wewe ni trans gender, na wewe ndio mume na umeoa kwenye same sex marriage na mkeo yuko home, utalipwa!.
P
Mkuu P
Kwa mfumo wa Sweden kuna pesa unapewa kama mzazi kwa watoto wako kila mwezi kronor 1050 kwa mtoto mpaka atimize miaka 16.Ukiwa na watoto 2 kuendelea licha kupata 1050 kronor kila mtoto pia unaongezewa kiasi kingine cha pesa kutegemeana na watoto ulionao.(Flerbarn tillägg).Pesa hizi wanapewa wazazi wote bila kujali kipato.
Pia kuna pesa za kukusaidia kulipa kodi (bostadsbidrag) hizi zinatolewa kutegemeana na kipato.Ukiwa na kipato kikubwa hupewi.
Kuna allowance ya uzazi kwa wazazi wote wawili.Mnapewa siku 480 maternity allowance mgawane siku 240 kila mzazi.Ila kila mzazi ana uhuru wa kumpa mzazi mwenzake siku 60 kati ya hizo.Allowance inategemea kipato chako lakini cha chini kabisa ni kronor 4800(kama milioni na laki mbili za Tanzania).Baba au mama mmojawapo anaendelea na kazi na mwingine anabaki nyumbani kulea.
Kodi ni asilimia 30-32 ya kipato chako.Shule ni bure including chakula mpaka level ya sekondari.
Chuo kikuu masomo ni bure lakini unakopeshwa kulipia chakula na malazi.
Hospitali ni bure ,madaktari wa meno ni bure kwa watoto na vijana mpaka umri wa miaka 21.
 
Back
Top Bottom