Je, hasara ya ATCL inayosemwa na CAG ni ipi?

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Hivi hasara ya ATCL ni

1. Cumulative toka kipindi cha nyuma AU

2. Ni tangu ianze kukodisha ndege mpya toka kwa wakala wa ndege za Serikali?

NB: Tuzingatie kuwa hata kabla ya maboresho, tayari ATCL ilikuwa inajiendesha kwa hasara. Na haikuwahi kuwa bankrupt, ili tuanze upyaaa.

Halafu tuangalie hii kitu vizuri.

1. Wakala wa ndege za serikali kanunua ndege ili azikodishe ziingizie Serikali mapato, right!

2. ATCL amezikodisha kwa maana anatakiwa azi operate kwa faida na kumlipa wakala wa ndege za serikali. Sasa kwa nini ishindwe kutengeneza faida kama ilijipanga vizuri kabla ya kukodisha? Maana hata kabla ya kukodisha za serikali, bado ingekodisha toka shirika lingine - je huko napo ingeomba muda wa miaka mingapi kutengeneza faida?
 
ATCL haiwezi kufanya faida kwa kubeba samaki na DREAMLINER kutoka mwanza kwasababu DREAMLINER ni ndege ya masafa marefu, kuitumia kwa kwenda Mwanza na Arusha ni kutengeneza hasara!! ATCL ilikuwa inaongozwa na watu wasio na weledi kwenye board yake na pia wanasiasa kuingilia uendeshaji wa shirika ndio sababu ya shirika kupata hasara. Kupeleka ndege Mpanda na Chato ni uamuzi wa kisiasa sio wa kibiashara!!!
 
CAG kaweka hasara za miaka mitatu. Madeni ya nyuma ya ATCL yako pale pale. Kuna sehemu ndge zetu haziwezi kwenda kwa sababu ATCL/inchi inadaiwa hivyo zitazuiwa.

Kimsingi ATCL ilifufuliwa bila kuwa business plan ya uhakika. Ilifufuliwa ki mhemuko. Kwa mfano ilitakiwa ianze kidogo kidogo...huku ikukua taratibu badala ya kuirundikia madege ambayo hayana route za maana.

Pili swala la serikali kufanya biashara lilisha shindikana. Kwa taratibu na urasimu wa kiserikali kamwe shirika la serikali haliwezi kupata faida. Inashangaza ni kwa nini hadi sasa hasa serikali ya awamu ya tano ilitaka kurudi kwenye biashara badala ya kuachia private sector.
 
Matindi aje na business plan ya maana ndio hiyo tuone bunge liamue kuendekea au kuuza midege
 
Wengi wanajdili sababu hawajaisoma hiyo ripoti vizuri.

Ukisoma utagundua atcl wamekodishwa ndege na wakala wa serikali, wakala wa Serikali anatakiwa alipwe kila siku hata kama ndege haziruki, kutokana na covid19 ndege nyingi zimekuwa haziruki lakini deni lipo palepale.

Kama mkataba huu ungeingiwa na makampuni ya nje tungesikia makelele mengi kwa hiyo hasara kubwa nindeni wanalodaiwa na wakala wa serikali
 
CAG kaweka hasara za miaka mitatu. Madeni ya nyuma ya ATCL yako pale pale. Kuna sehemu ndge zetu haziwezi kwenda kwa sababu ATCL/inchi inadaiwa hivyo zitazuiwa.

Kimsingi ATCL ilifufuliwa bila kuwa business plan ya uhakika. Ilifufuliwa ki mhemuko. Kwa mfano ilitakiwa ianze kidogo kidogo...huku ikukua taratibu badala ya kuirundikia madege ambayo hayana route za maana.

Pili swala la serikali kufanya biashara lilisha shindikana. Kwa taratibu na urasimu wa kiserikali kamwe shirika la serikali haliwezi kupata faida. Inashangaza ni kwa nini hadi sasa hasa serikali ya awamu ya tano ilitaka kurudi kwenye biashara badala ya kuachia private sector.
Hapa ndiyo kuna jibu la mtoa thread. Asante iMind

Kama siyo mtaalamu wa uchumi, uhasibu na biashara usitupotezee muda kuandika, soma upite zako
 
Jenga mazoea ya kuandika ukiwa na data, siyo unakurupuka tu.
Screenshot_20210412_080841_com.flightradar24free.jpg


Screenshot_20210412_081348_com.flightradar24free.jpg

 
Hiyo hasara inayoenda kwa wakala wa ndege kiukweli sio hasara, maana hela yote inarudi humo humo, na tulitakiwa tuambiwe huyo wakala wa ndege ametengeneza faida kiasi gani pia , unaweza kuta wakala wa ndenge wa serikali ametengeneza faida ya 100bn wakati ATCL hasara ni 60bn, hapo net profit ni 40bn kwa serikali.
 
Yauzwe tu hayo madude, hakuna haja ya kuendelea kulitia taifa hasara.
CAG kaweka hasara za miaka mitatu. Madeni ya nyuma ya ATCL yako pale pale. Kuna sehemu ndge zetu haziwezi kwenda kwa sababu ATCL/inchi inadaiwa hivyo zitazuiwa.

Kimsingi ATCL ilifufuliwa bila kuwa business plan ya uhakika. Ilifufuliwa ki mhemuko. Kwa mfano ilitakiwa ianze kidogo kidogo...huku ikukua taratibu badala ya kuirundikia madege ambayo hayana route za maana.

Pili swala la serikali kufanya biashara lilisha shindikana. Kwa taratibu na urasimu wa kiserikali kamwe shirika la serikali haliwezi kupata faida. Inashangaza ni kwa nini hadi sasa hasa serikali ya awamu ya tano ilitaka kurudi kwenye biashara badala ya kuachia private sector.
 
Wengi wanajdili sababu hawajaisoma hiyo ripoti vizuri.
Ukisoma utagundua atcl wamekodishwa ndege na wakala wa serikali, wakala wa serikali anatakiwa alipwe kila siku hata kama ndege haziruki, kutokana na covid19 ndege nyingi zimekuwa haziruki lakini deni lipo palepale.
Kama mkataba huu ungeingiwa na makampuni ya nje tungesikia makelele mengi kwa hiyo hasara kubwa nindeni wanalodaiwa na wakala wa serikali
Covid inaathiri vipi wakati ndege zetu zinaruka humu humu nchini!
 
Badala ya kufura na kutukana tu ungejibu hoja
Mijitu mingine inafaa kujibiwa kama ilivyo respond
Hoja ijibiwe kwa hoja sio matusi.
Na tusi lijibiwe kwa kipi?

Kama ni mfuatiliaji kuna nyuzi zaidi ya 20+ zinye maudhui yanayo fanana,zimejibiwa kwa hoja na kuna mijitu kwa kuwa imeshaweka akili zao kwenyu kudhalilisha inacomment kila uzi kwa kashifa na mihemko bila kujali hisia na utu wa wengine. Unaliona uzi huu limeandika mitusi na kejeli.
 
CAG kaweka hasara za miaka mitatu. Madeni ya nyuma ya ATCL yako pale pale. Kuna sehemu ndge zetu haziwezi kwenda kwa sababu ATCL/inchi inadaiwa hivyo zitazuiwa.

Kimsingi ATCL ilifufuliwa bila kuwa business plan ya uhakika. Ilifufuliwa ki mhemuko. Kwa mfano ilitakiwa ianze kidogo kidogo...huku ikukua taratibu badala ya kuirundikia madege ambayo hayana route za maana.

Pili swala la serikali kufanya biashara lilisha shindikana. Kwa taratibu na urasimu wa kiserikali kamwe shirika la serikali haliwezi kupata faida. Inashangaza ni kwa nini hadi sasa hasa serikali ya awamu ya tano ilitaka kurudi kwenye biashara badala ya kuachia private sector.
Kweli kabisa wawaachie private sector.
Sijawahi sikia Kinana au Rostam wameingia hasara.
Wamesafirisha pembe za ndovu miaka mingi bila kupata hasara.
wametuuzia umeme wa RICHMOND/DOWANS bila kupata hasara.
Serikali huwa hawana Bussness plans.
Angalia bussness plan ya yule Singasinga wa IPTL - Hajawahi pata hasara.
Mpaka JPM alioamua kui-redeem nchi kutoka kifungo cha bussness plan yake ndo labda kaanza kupata hasara.
 
Yauzwe tu hayo madude,hakuna haja ya kuendelea kulitia taifa hasara.
Majibu yako niya jumla jumla sana, izondege kwani tumekopa?.

Kwanini isitumike akili yakuplani biashara na hizondege zitumike badala ya kuuzwa.

Mnajifanya kukosoa kumbe hamna plani ya kuendesha biashara.

Hasara kwenye biashara nikawaida na ukipata hasara ndio unakuwa imara kuplani njia mpya ambayo itakufanya upate faida.

Mashirika ya ndege karibu yote duniani yamepata hasara kipindi hichi cha korona.

Tumieni hizo akilizenu kuplani ndege zirun kwa faida sio kukimbilia kuuza au mnataka mpige pesa kwenye mauzo.

Watu kama wewe msiokua na uwezo wa kukabiliana na changamoto mna mawazo ya kushindwa kilakitu kilasiku.

Magu amesha watafunia kumeza pia mnashindwa!!!!.
 
Majibu yako niya jumla jumla sana, izondege kwani tumekopa?.

Kwanini isitumike akili yakuplani biashara na hizondege zitumike badala ya kuuzwa.

Mnajifanya kukosoa kumbe hamna plani ya kuendesha biashara.

Hasara kwenye biashara nikawaida na ukipata hasara ndio unakuwa imara kuplani njia mpya ambayo itakufanya upale faida.

Mashirika ndege karibu yote duniani yamepata hasara kipindi hichi cha korona.

Tumieni hizo akilizenu kuplani ndege zirun kwa faida sio kukimbilia kuuza au mnataka mpige pesa kwenye mauzo.

Watu kama wewe msiokua na uwezo wa kukabiliana na changamoto mna mawazo ya kushindwa kilakitu kilasiku.

Magu amesha watafunia kumeza pia mnashindwa!!!!.
 
Alafu uweunamaliza maneno, huyo CAG amesema kenya wanaendesha kwa faida na hasarapia kuwamkweli acha ushabiki.

Kama kenya air ways, wanapata hasara then nikawaida kupata hasara katika biashara, na wao niwazoefu wameanza zamani sana, sisi ndiotulikuwa tunaanza kwahiyo tusitegemee faidatu.

Wafanya biashara wangekuwa wakipata hasara hawasimami na kuanza upya wote wangefunga biasharazao.

Unasema tuangalie trion zilizotumika kununua ndege unamaana gani, ulitakatupewebure??
Hizopesa zimetumika kama mtaji wakuanzia biashara, kuanza kuzitaja ni kutaka kutia chumvi tu kujazia nyama hoja dhaifu.

Tuache kulialia tutumie akiizetu kuplani njia nzuri ya kuliendesha shirika kwa faida sio kulalamika wakati mtajiupo.
 
Kwani ndege zilinunuliwa na nani? Covid inahusiana na nini wakati atcl hawana ruti za nje
Wengi wanajdili sababu hawajaisoma hiyo ripoti vizuri.
Ukisoma utagundua atcl wamekodishwa ndege na wakala wa serikali, wakala wa serikali anatakiwa alipwe kila siku hata kama ndege haziruki, kutokana na covid19 ndege nyingi zimekuwa haziruki lakini deni lipo palepale.
Kama mkataba huu ungeingiwa na makampuni ya nje tungesikia makelele mengi kwa hiyo hasara kubwa nindeni wanalodaiwa na wakala wa serikali
 
Back
Top Bottom