FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,023
- 40,693
Je, walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Kwahiyo nani aliwapa ruhusa ya kuzini?Mtu alishatoka ubavuni mwako bado tu unahitaji ndoa kujifaidia? You're are not serious
Na watoto wa huo uzinzi walifunga ndoa wapi na lini, na walifunga ndoa na nani wakati hapakuwa na watu duniani? Incest? Na aliwapa ruhusa ya kufanya incest?Mtu alishatoka ubavuni mwako bado tu unahitaji ndoa kujifaidia? You're are not serious
Mze baba acha wenge au ni huu uchaguzi?Adam na Hawa Walikuwa warabu,wazungu,wahindi,wachina,waafrika ? Kama walikuwa wazungu wachina walitoka wapi? Waafrika walitoka wapi?
mbona wazungu hawajawahi zaa muafrika pasipokutana na muafrikaMze baba acha wenge au ni huu uchaguzi?
Watoto wako tu wenyewe wanatofautiana na wewe kuna weusi tii, weupe, warefu wafupi n.k kwani na wao wanatoka wapi
Hiyo kauli iliwahusu Adam na Hawa tu au imeturuhusu watu wote duniani hadi leo hii?Bahati kwenye uzi umeandika NDOA na Sio HARUSI kama ulivyoandika heading.
Kuhusu ndo sina jibu,
Pengine yale maneno
"Na mkawe mwili mmoja" yalitosha.
Hiyo ndoa umeisoma kwenye kitabu gani, au wewe ni time traveler?Harusi na ndoa vyote vilifanyika bustani ya edeni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukishajua km walikuwa wazungu,waafrika au waarabu itakusaidia nini???.Muhimu hapo ni kumwamini Mungu na neno lake tu.Adam na Hawa Walikuwa warabu,wazungu,wahindi,wachina,waafrika ? Kama walikuwa wazungu wachina walitoka wapi? Waafrika walitoka wapi?
Mkuu FRANCIS DA DON, swali lako libafikirisha. Kukujibu, pamoja na michango ya WanaJF, naomba upokee yafuatayo na kuyafanyia kazi.Je, walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Ndio, dini ya DarwinismMkuu FRANCIS DA DON, swali lako libafikirisha. Kukujibu, pamoja na michango ya WanaJF, naomba upokee yafuatayo na kuyafanyia kazi.
• Wewe ni muamini wa dini?
√ HAPANA, jiulize mwanzo wa binadamu ni upi?
√ NDIYO, je, wewe ni dini gani?
π Mfuasi wa Kristo, soma Biblia kuhusu uumbaji
π Mwislam, soma Kuran pia kuhusu uumbaji.
• Unajua maana ya ndoa?
√ HAPANA, waulize walio kwenye ndoa.
√ NDIYO: jiulize ulimpataje mke.
Itanisaidia kujua kama dini ni uongo au ukweli. Kuzminu bila kutafajari ni kupoteza muda.Ukishajua km walikuwa wazungu,waafrika au waarabu itakusaidia nini???.Muhimu hapo ni kumwamini Mungu na neno lake tu.
... iliwahusu Adam na kizazi chake hadi pale Mungu alipobadili sheria. Kwani mwanzo palikuwa na Amri Kumi? Zilikuja baadaye kutokana na mahitaji ya wakati vivyo hivyo kwa masuala ya ndoa na mengineyo kama utawala, n.k.Hiyo kauli iliwahusu Adam na Hawa tu au imeturuhusu watu wote duniani hadi leo hii?