Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
NI HIVI, nimejiuliza sana hili swali baada ya kutafakari siku kadhaa nikishuhudia mama mmoja aliye kwenye ndoa yake na mume wake ni mpole kweli kwa kadri ninavyomfahamu, lakini huwezi amini huyohuyo mke anawasiliana na jamaa mmoja anaeonekana yuko abroad. si mnajua tena mambo ya skype, nilibaini pale nilipoletewa ili niwezeshe hii programu ifanye kazi na baada ya hapo maongezi yakaendelea ila nikashangaa kweli kuona huyo mama anapata furaha isiyo ya kawaida. niliweza kumuona mara kadhaa akifanya hivyo na akiniiona anacheka maana namtania kidogo nikimkuta yupo bussy anafurahi kungea maana kiasi nimeshamzoea.
sasa haya mapenzi ya kuchepuka ni matamu sana ama inakuwaje, yaani sielewi kabisa.
mtu mpaka anaamua kuolewa ama kuoa inafika kipindi furaha yake na fahari yake inakuwa mchepuko kuliko mke wake ama mume wake. why this?
ama ndio wasemavyo waswahili, ukishakula nyama ya mtu huachi.
kwa kuwa haramu ni tamu kuliko halali.
LAKINI PIA ILI KUCHEPUKA NA MUME AMA MKE WA MTU INAHITAJI UJASIRI WA JUU SANA NA WA KIPEKEE MAANA WAWEZA KUPOTEZA MAISHA.
hawa team-mchepuko mpaka wanakubali/wanaamua kuchepuka na mwandoa(mke/mume wa mtu ama wote wanandoa) inahitaji ujasiri usio wa kawaida lakini bado hii team imekuwa na wateja wa kutosha mpaka nashangazwa na ujasiri huu uliovuka kipimo cha kawaida.
HATARI SANA.
sasa haya mapenzi ya kuchepuka ni matamu sana ama inakuwaje, yaani sielewi kabisa.
mtu mpaka anaamua kuolewa ama kuoa inafika kipindi furaha yake na fahari yake inakuwa mchepuko kuliko mke wake ama mume wake. why this?
ama ndio wasemavyo waswahili, ukishakula nyama ya mtu huachi.
kwa kuwa haramu ni tamu kuliko halali.
LAKINI PIA ILI KUCHEPUKA NA MUME AMA MKE WA MTU INAHITAJI UJASIRI WA JUU SANA NA WA KIPEKEE MAANA WAWEZA KUPOTEZA MAISHA.
hawa team-mchepuko mpaka wanakubali/wanaamua kuchepuka na mwandoa(mke/mume wa mtu ama wote wanandoa) inahitaji ujasiri usio wa kawaida lakini bado hii team imekuwa na wateja wa kutosha mpaka nashangazwa na ujasiri huu uliovuka kipimo cha kawaida.
HATARI SANA.