Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kwa mujibu wa mwalimu mmoja aliyepo wilaya ya Uyui mkoa wa Tabora ambae yupo likizo kwasasa hapa mkoani Dar es Salaam anasema hivi!
Kipindi cha kuelekea uchaguzi walimu waliambiwa na CWT pamoja na maafisa utumishi wajaze haraka sana fomu za Bibi na bwana salary areas claiming forms ili walipwe madai yao haraka.
Ikumbukwe form hizo kuzipata sio rahisi zimewekewa urasimu Fulani hivi wa kishamba kwa mujibu wa mwalimu huyo.
Walimu ilibidi waingie gharama kuzitafuta fomu hizo wakiamini kwamba watalipwa madai yao kabla ya uchaguzi.
Hamaaaaadi yule mwalimu alipopeleka barua yake ya likizo akaulizia areas zao zimefikia wapi? Akaonyeshwa luuuundo la ile mifomu ikiwa Imejaa vumbi hiyo ndio Asante ya CCM kwa walimu.
Baada ya kuwatumia kama pampasi kuiba kura Sasa hamna thamani teeena.
Five mooooo ooooo Kama mlio wa ng"ombe.
Kipindi cha kuelekea uchaguzi walimu waliambiwa na CWT pamoja na maafisa utumishi wajaze haraka sana fomu za Bibi na bwana salary areas claiming forms ili walipwe madai yao haraka.
Ikumbukwe form hizo kuzipata sio rahisi zimewekewa urasimu Fulani hivi wa kishamba kwa mujibu wa mwalimu huyo.
Walimu ilibidi waingie gharama kuzitafuta fomu hizo wakiamini kwamba watalipwa madai yao kabla ya uchaguzi.
Hamaaaaadi yule mwalimu alipopeleka barua yake ya likizo akaulizia areas zao zimefikia wapi? Akaonyeshwa luuuundo la ile mifomu ikiwa Imejaa vumbi hiyo ndio Asante ya CCM kwa walimu.
Baada ya kuwatumia kama pampasi kuiba kura Sasa hamna thamani teeena.
Five mooooo ooooo Kama mlio wa ng"ombe.