Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,542
Wakati wa kujifungua manesi watawajaza matambala kwenye tigo,maana kunakuwa hakuna ushirikiano,then kama mume hukujua kuwa alikuwa anafumuliwa ndiyo unaumbuka sasa hapo hospital,maana anaweza olewa nawewe bila kujua,ndiyo maana baadhi ya wanawake huwa wanapenda kuwa na Dr binafsi kulinda baadhi ya mambo yao