Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,434
- 113,444
- Thread starter
- #301
Mimi sikukatwa uchaguzi wa ndani, anayekatwa ni yule aliyeshinda kura za maoni, halafu vikao vya uteuzi vikalikata jina lake na kumchukua mshindi wa pili au watatu.Kwanza jibu hili
WEWE KWANINI ULIKATWA UCHAGUZI WA NDANI?
Mimi ni wajumbe walifanya yao, kura hazikutosha.
P