TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Tafadhali wana jf,kama kuna anae jua maendeleo ya afya ya mbunge wa Kalenga atujuze maana mitaa ya kalenga na viunga vyake kuna pang'ang'a nyingi zisizo na mashiko,hivyo ni vema jambo hili liwekwe sawa kwa wapiga kura.