Je, Gazeti la The Guardian nchini linaunga mkono Malawi dhidi ya Tanzania kwenye mgogoro wa mpaka?

Ila boss lazima ujue ukiweka uzalendo pembeni..haki sio sheria..Tunaweza kua na haki ila mikataba ya kikoloni inatukaba..halafu Katuni ni fasihi andishi huwezi I judge hivyo

Sent from my TECNO DP7CPRO using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe kuwa katuni ni fasihi andishi lakini ndo ujiulize unadhani kwa nini hadi niipost wakati kuna katuni nyingi tu. Hii inaonyesha wazi kuwa, navifahamu kwa Kiwango kikubwa sana. Kama utulie uangalie mazingira waliyomo wale Marais wanaotusuluhisha uangalie mahusiano ya Tanzania na nchi hizo halafu angalia uhusiano wao na Malawi. Kisha angalia miaka na mikataba ya kikoloni tangu ule wa kwanza 1885, 1890 na wa baada ya WW I.
 
Tusubirie mbivu na mbichi leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JKIA, jijini Dar, ambapo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Augustine Maiga, akiambatana na Waziri wa Ardhi, zNyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, watatoa taarifa ya yaliyojiri SA wakati wa usuluhishi wa mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi.
IMG_0198.JPG
 
Tanzania kama itaanguka maana kibonzo kimesimamia kisigino Kabisa.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Sijasema kuwa, kibonzo ndo kitasababisha tushindwe ama kushindwa lakini ni dalili ya picha iliyopo kwa watanzania wengi nchini kuwa huwa yuko reactive tu mambo yanapoenda kombo lakini less proactive hata katika suala nyeti kama la mgogoro wa mpaka.
 
Kuna Ndege toka sa Leo saa Tisa kasoro dkk 10. Hivyo taarifa mpaka itoke ni 11 jioni au mpaka kesho , sasa Na ndugu zetu wa Malawi sijui watawataarifu saa ngapi wana nchi wao.
 
View attachment 540396

Katika taarifa yake ya Julia 12, 2017, The Guardian lilielezea kwanza na kwa kirefu msimamo wa Malawi katika mgogoro wa mpaka dhidi ya Tanzania, huku likitoa msimamo wa Tanzania kwa lugha ambayo inaonyesha kuwa nchi inapinga tu.

Hata hivyo, kwenye ukurasa wa ndani, nimeshangaa kukuta kibonzo kinaonyesha msuluhishi akielekea kuipa Malawi haki ya umiliki wa Ziwa Nyasa. Watalaamu wa vibonzo mtusaidie, huyo mwandishi alimaanisha nini?
haki kama ni haki yao wape, kama siyo tusiwape



Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
 
haki kama ni haki yao wape, kama siyo tusiwape



Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
Wewe Mimi siku bali kabisa na tafadhari mtu mwenye mawazo ya namna hiyo haitaji kutufundisha nini cha kufanya. Owe ni by hooks or crooks, lazima miaka ni kati kati ya Ziwa. Mnatuaibisha sana. Mjifunze kwa wakenya, Mlima Kilimanjaro hauko kwao, Serengeti haiko kwao Zanzibar haiko kwao but wanavitangaza aggressively kuwa viko kwao, sembuse Ziwa letu?
Unataka wananchi wa Kyela, Ludewa, Makete na Nyasa wasitumie Ziwa?
 
Wadau tulielezwa kwamba tutapewa taarifa ya maazimio ya usuluhishi wa ziwa nyasa ,kulikoni hatupewi taarifa au wahisika wanaanzia kwa Raisi?
 
Lake Malawi dispute lingers on (File photo/Zodiak)
The Lake Malawi border dispute is far from over despite a high-level mediation talks held in South Africa.
The next course of action is for the President of Malawi, Peter Mutharika and his Tanzanian counterpart, John Magufuri, to input into the high level meditation discussion held in South Africa.
The two leaders are expected to provide their input within three months before a verdict is pronounced.
Spokesperson for Malawi’s Ministry of Foreign Affairs and Internal Cooperation Rejoice Shumba confirmed this to Zodiak Online following the mediation that took place in South Africa from 11 to 12 July 2017.
The discussions were chaired by former Mozambican President Joachim Chissano and South African ex-President Thabo Mbeki.
The Malawi delegation was led by Minister of Foreign Affairs and Internal Cooperation Francis Kasaila.
“Since the two countries are eager to see an end of the lake dispute, the two delegations accepted… They have agreed that the consultation process with the two Heads of States should take place in not more than three months,” Shumba said.
A statement released by the Malawi government ahead of the meeting said Malawi would maintain its position on the boundary.
Malawi maintains that the North Eastern Boundary between the two countries is the Lake Malawi Shore Line as established in the 1890 Anglo-German Treaty, meaning the whole lake belongs to her.
On the other hand, Tanzania has also maintained the border line lies in the middle of the lake as determined by the African Union on boundaries that are determined by water bodies.
In May this year, the Tanzania government cancelled at an eleventh hour a similar meeting for unclear reasons, a development that frustrated the Malawi government.
President Mutharika earlier said Malawi will take the issue to the International Court of Arbitration if the mediation talks fail to yield positive results, a decision endorsed by ex-President Joyce Banda.
 
Unaelewa kweli wewe kinachoendelea Afrika Kusini tangu jana? Sasa mambo ya kutukana yanatoka wapi ndugu. Mimi nimefurahi ulivyosema kuwa hiyo matusi inatoa tahadhari, huo hao ni mtazamo wako lakini usijisahau ukadhani Wewe ndiye umepatia ama kwamba wengine watakiona kibonzo hicho kwa jinsi ulivyokiona.

We ni kichaa,,,waambie basi mabwana zako wafungie ilo gazeti,,
 
We ni kichaa,,,waambie basi mabwana zako wafungie ilo gazeti,,
Mbona una jazba ndugu, si ujitahidi kupunguza ukali wa maneno, sasa ukitukana hivyo, huoni kuwa utakaa na pressure bure ya kusubiri kujua ni tusi gani kubwa utakalojibiwa kuliko uliloweka wewe? Nina uhakika tupo humu kwa ajili ya kujenga na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom