Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Katika taarifa yake ya Julia 12, 2017, The Guardian lilielezea kwanza na kwa kirefu msimamo wa Malawi katika mgogoro wa mpaka dhidi ya Tanzania, huku likitoa msimamo wa Tanzania kwa lugha ambayo inaonyesha kuwa nchi inapinga tu.
Hata hivyo, kwenye ukurasa wa ndani, nimeshangaa kukuta kibonzo kinaonyesha msuluhishi akielekea kuipa Malawi haki ya umiliki wa Ziwa Nyasa. Watalaamu wa vibonzo mtusaidie, huyo mwandishi alimaanisha nini?