Je, gari Suzuki Swift ni inafaa Tanzania?

09.jpg


06.jpg


Picha juu ni Swift na picha ya chini ni Vitz
 


Tusidanganye watu, kama wengi wetu tungejua kazi ya kutengeneza gari ilivyo complicated, sidhani kama tutafikiria kama Tanzania kwa sasa tuna uwezo wa kuasemble gari hiyo. Kazi kubwa na inahitaji kuhusisha makampuni kadhaa ambayo ndiyo yenye kutengeneza gari kutokana na kuchangia car parts. Kampuni yenye kuhodhi gari ni shauri ya uunganishwaji tu. Sana sana ni car body builders.
 
candid hebu nunua swift 1 mtumie ndugu yako yyt alitumie baada ya miezi 5 itawaka ya taa ya engine kwenye dashboard mwambie apeleke kwa fundi waitengeneze baada ya miezi 2 muulize anawajua mafundi wangapi wa swift hapa tanzania , ukitaka kukaa na hii swift uwe na gari nyingine hii iwe ya week end tu kuendea beach na abiria 1 tu usiipe mzigo

kuna fundi yupo fuel station opp na fire kwenye trafic light za jangwani alinirekebishia hii kitu, baada kuhangaika sana kubadilisha ma plugs, filters , starter etc! Above all its a nice car kwa mazingira ya dar!
 
candid hebu nunua swift 1 mtumie ndugu yako yyt alitumie baada ya miezi 5 itawaka ya taa ya engine kwenye dashboard mwambie apeleke kwa fundi waitengeneze baada ya miezi 2 muulize anawajua mafundi wangapi wa swift hapa tanzania , ukitaka kukaa na hii swift uwe na gari nyingine hii iwe ya week end tu kuendea beach na abiria 1 tu usiipe mzigo
Dah! Wewe jamaa hebu fafanua kidogo kwenye hicho kipengele cha kuwaka taa ya njano ya check engine! Ni dalili ya tatizo gani kwa hili gari?

Pia wataalam kama RRONDO, JITU LA MIRABA MINNE mnakaribishwa.
 
Back
Top Bottom