Sasa hilo jina lako mbona haliendani na akili yako, kama hata hujui maana ya transit goods
View attachment 1951404
Mzigo wowote unaotoka A kwenda C Kupitia B unakua ni Transit Goods mfano mzigo unatoka Kongo kwenda China Kupitia Tanzania ni Transit goods(Sisi Tanzania tutaita Goods in Transit ila wao wakongo wataita Export na china ataita Import) kuna vibali unalipia kwa Tanzania gari kuwa Transit kuna Kibali kinaitwa C28 unalipia $200 kwa mwaka.(Wether umekikata January au October 2021 validity yake mwisho ni december 2021).
Mzigo unatoka zambia kwenda Rwanda kupitia Tanzania either kwa Barababara au Kwa maji(Lake Tanganyika) ni Transit Goods.
Only in China?Transit goods mean the goods that are shipped from abroad, transported through land routes within China's territory, and shipped to overseas successively.
Nimegugoo
Only in China?
Mizigo inayopita nchi moja kwenda nyingine mpaka kufika panapohusika...
Ngoja waje kukupa mungozo...