Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Naomba utupatie ukweli wako kiongozi
Siyo kweli chifu!
Siyo kweli chifu!
Tumekusikia kijakazi cha membe haya nenda masaki kachukue ujira
Mimi mwenyewe ni mwajiri nipo shambani kwangu nawaajiri vijana kama nyinyi mnajipatia angalau ela ya kununulia sabuni muweze kufulia makaptula yenu.
Karibu sana hapa kakonko
Unafahamu nini kuhusu hela za Gaddafi utufahamishe hapa? Au unadandia tuu gari hujui linaelekea wapi?Kakonko Ndio wapi? Taja mkoa usidhani najua kila pahala
Unamtetea fisadi membe mwambie pesa za gadafi tunazihitaji
Mimi siyo mwana ccm kamwambie wewe mwana ccm mwenzako maana hayo madhambi yalifanyika ndani ya ccmKakonko Ndio wapi? Taja mkoa usidhani najua kila pahala
Unamtetea fisadi membe mwambie pesa za gadafi tunazihitaji
Hawa watapendana Kufa kupona hawa wameiishi ile shida na raha kwa vitendo duniani
Mm wala simjui na wala sikuwa na habari kuwa yy na mumewe wantuhumiwa kuhujumu uchumi.
Naomba nikuulize je wametubu makosa yao??
"Unadhani" kwa maana huna uhakika kuhusu jina la Membe. Aliyesama jina hili ni la ukoo kama ilivyo majina ya Shayo na Mrema yuko sahihi.Mkuu;
Jina la Membe nadhani ni ''unique'' ukilinganisha na Shayo au Mrema.
Mkuu ipo kati ya Kibondo na Kasulu. Siku hizi ni wilaya.Kakonko Ndio wapi? Taja mkoa usidhani najua kila pahala
Unamtetea fisadi membe mwambie pesa za gadafi tunazihitaji
Muambie na huyo Jiwe arudishe pesa za rambirambiKakonko Ndio wapi? Taja mkoa usidhani najua kila pahala
Unamtetea fisadi membe mwambie pesa za gadafi tunazihitaji
Mawazo yako yalikuwa kichwani mwangu!Kuna makabila fulani ya mkoani Mara ambamo jina Membe maana yake ni Fisi
Kitubio kinaendana na malipiziKutubu binamu kunaendana na kurejesha unachotumiwa....
Unafahamu nini kuhusu hela za Gaddafi utufahamishe hapa? Au unadandia tuu gari hujui linaelekea wapi?
Muambie na huyo Jiwe arudishe pesa za rambirambi
Mimi siyo mwana ccm kamwambie wewe mwana ccm mwenzako maana hayo madhambi yalifanyika ndani ya ccm
Ndugu kabisa haimaanishi tu ni kaka na dada..ila ni ndugu elewa hivyo tu mkuu