Je, Freeman Mbowe alitumia Mkutano wa Chadema kujimwambafy?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
66,759
101,889
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama

Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya

Dominica njema!
 

Mabobo

Member
Aug 16, 2018
33
12
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama

Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya

Dominica njema!
Wewe unafikiriaje? Wewe huelewi kuwa hakuna chama kinachoitisha sisiemu zaidi ya hicho??
 

denooJ

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
15,114
55,237
Huko CCM inasemekana Sukuma Gang walikuwa hawataki maridhiano, na kule Chadema wafuasi mihemko wanaona maridhiano ni kupoteza muda hata kama walivyotaka kwenye mazungumzo baadhi wameanza kuvipata..

Kuna ujinga mwingi sana kwenye siasa za vyama vyetu, na bahati mbaya zaidi, hao wajinga wakati mwingine ndio wanalazimisha kuweka kiongozi wamtakaye!.
 

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
66,759
101,889
Huko CCM inasemekana Sukuma Gang walikuwa hawataki maridhiano, na kule Chadema wafuasi mihemko wanaona maridhiano ni kupoteza muda hata kama walivyotaka kwenye mazungumzo baadhi wameanza kuvipata..

Kuna ujinga mwingi sana kwenye siasa za vyama vyetu, na bahati mbaya zaidi, hao wajinga wakati mwingine ndio wanalazimisha kuweka kiongozi wamtakaye!.
Nimekuelewa
 

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
4,367
8,391
Huwezi mtukana Magufuli,halafu utarajie kanda ya ziwa wakuunge mkono!
Erythrocyte !
Na Pro-Chadomo wote mlielewe hilo kwa ufasaha!

Tunapoandika humu,mkitubeza huwa tunawaacha muendelee kudanganyika!
 

laptop90

JF-Expert Member
Sep 14, 2017
1,621
1,966
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama

Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya

Dominica njema!
ndo yeye kwani alikua na nani
 

ASIWAJU

JF-Expert Member
Nov 18, 2022
1,941
1,610
Huko CCM inasemekana Sukuma Gang walikuwa hawataki maridhiano, na kule Chadema wafuasi mihemko wanaona maridhiano ni kupoteza muda hata kama walivyotaka kwenye mazungumzo baadhi wameanza kuvipata..

Kuna ujinga mwingi sana kwenye siasa za vyama vyetu, na bahati mbaya zaidi, hao wajinga wakati mwingine ndio wanalazimisha kuweka kiongozi wamtakaye!.
Unataka wanachama wote wa Chadema wakubaliane na mbowe kwenye swala la maridhiano yasiyo na maana kwao ?
 

Waterloo

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
25,177
38,301
Labda kama umesahau CCM lowassa ametumia hela zake nyingi sana mkamtosa.
 

Pac the Don

JF-Expert Member
Feb 17, 2021
3,442
3,799
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama

Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya

Dominica njema!
Hebu twambie ww ujuavyo kuhusu huo ushawishi wa mpaka kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa ambayo ilizuiwa na bwana yule na kuvunja katiba!!
 

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,070
3,520
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama

Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya

Dominica njema!
WAJINGA mnazidi kuongezeka ni hatari kwa Afya ya TAIFA
20221104_231648.jpg
 

mweusi asili

JF-Expert Member
Nov 11, 2014
1,893
3,008
Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya
lazima ajisifu kutokana na aliyopitia ie kuitwa mlamba asali ila kutokana na msimamo na uvumilivu matunda yameoneka vipi wale wa kikosi kazi ambao waliambiwa taarifa yao sio lazima ifanyiwe kazi
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom