johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 66,759
- 101,889
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama
Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya
Dominica njema!
Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya
Dominica njema!