johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Nauliza tu endapo itampendeza Rais Magufuli na akamteua mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kuwa mbunge, kamati kuu ya CHADEMA itamzuia kama wanavyojaribu kuwazuia wale wabunge wanawake 19 kutoka Bawacha?
Ni hako kaswali tu makamanda.
Maendeleo hayana vyama!
Ni hako kaswali tu makamanda.
Maendeleo hayana vyama!