Je F.Mbowe anafaa kuwa RAIS?

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
Nilikuwa namtangaza kwebye Star TV,Sijaona kama anaupeo mkubwa wa kuongoza nchini kwa jinsi alivyokuwa akilichambua Baraza la Mawazir.Mrema could a better Rais zaidi ya F.Mbowe.

wewe unawemaje?
 
Nilikuwa namtangaza kwebye Star TV,Sijaona kama anaupeo mkubwa wa kuongoza nchini kwa jinsi alivyokuwa akilichambua Baraza la Mawazir.Mrema could a better Rais zaidi ya F.Mbowe.

wewe unawemaje?

..tupe vigezo ulivyotumia kufikia mtazamo huo.
 
Huyo Mbowe akiwa rais atatuchezesha disko na kutuletea ufuska tu, anaebisha aende akaone biashara yake anayofanya. Pamejaa ufuska kwenye biashara yake, tutegemee nini akiwa rais?
 
Nilikuwa namtangaza kwebye Star TV,Sijaona kama anaupeo mkubwa wa kuongoza nchini kwa jinsi alivyokuwa akilichambua Baraza la Mawazir.Mrema could a better Rais zaidi ya F.Mbowe.

wewe unawemaje?

Tunaomba utupatie vigezo mzee, kigezo ulichotoa mi naona hakina tatizo kwa sababu disco club ni biashara inayokubalika kisheria. Tafuta vigezo vingine tuvijadili hapa JF.

Kaka K
 
Tunaomba utupatie vigezo mzee, kigezo ulichotoa mi naona hakina tatizo kwa sababu disco club ni biashara inayokubalika kisheria. Tafuta vigezo vingine tuvijadili hapa JF.

Kaka K

Maadili, disko inakubalikika. na ufuska Jee? au hujaona wanavyojiuza pale mbowe? na yeye anashadidia? angekuwa anajali maadili angefanya biashara isiyoweza kutolewa kasoro. Lakini, lisikutishe hilo, biashara ile kairithi kutoka kwa baba yake!
 
Analalamika bila kutoa mbadala...hasemi yeye angefanya vipi...
Mbowe alikwisha kusema yeye angefanya nini wakati wa kampeni za uchaguzi 2005. Huu si wakati wa kusema tena angefanya nini kwa sababu hagombei uraisi kwa sasa ila anakosoa utendaji wa yule tuliye mpa kura 2005 kwa ahadi zisizotekelezeka kabisa.
Na wote tumeona,hakuna awamu ya uongozi wa nchi hii iliyoingia na kuleta matatizo makubwa sana katika kipindi kifupi kama hii.
MIAKA MIWILI TUU YOTE HAYA? Mbowe kama mimi na wewe ana haki ya kulalamika.
 
Tunaomba utupatie vigezo mzee, kigezo ulichotoa mi naona hakina tatizo kwa sababu disco club ni biashara inayokubalika kisheria. Tafuta vigezo vingine tuvijadili hapa JF.

Kaka K

aliulizwa aeleze kuwa alikuwa mwanachama wa wapuki hajaja kutueleza tena na akakimbia


alijiunga hapa na akaeleza kuwa yeye atajibu hoja mwenyewe na akatukimbia mtu gani amabe anaahidi na hatimizi ahadi yake.

bora hata mnyika japo nnapingana nae ila ni mtu ambae anapambana kwenye midani mpaka pumzi yake ya mwisho na pia mchukua wake za watu hujitahidi na japo wakati mwengine hufanya utoto akaleta barua zake hapa kabla ya kuzipeleka bungeni na kisha akakanusha kuwa hajazisambaza.

huyu history yake mbovu na hafai kuwa hata mwenyekiti wa chama ni mtu mchafu.

lkn kwa vile chadema ni chama cha kikabila na kiukoo kama tulivyokijadili siku nyingi zilizopita na hata baadhi ya viongozi wake kukiri hilo sishangai
 
Nilikuwa namtangaza kwebye Star TV,Sijaona kama anaupeo mkubwa wa kuongoza nchini kwa jinsi alivyokuwa akilichambua Baraza la Mawazir.Mrema could a better Rais zaidi ya F.Mbowe.

wewe unawemaje?

Lete Vigezo vya Rais bora, then from there tutaweza kumpima Mbowe. Siku zote evaluation hufanyika baada ya ku-set Criteria na indicators, otherwise argument zitakuwa hazi-hold water.
 
aliulizwa aeleze kuwa alikuwa mwanachama wa wapuki hajaja kutueleza tena na akakimbia


alijiunga hapa na akaeleza kuwa yeye atajibu hoja mwenyewe na akatukimbia mtu gani amabe anaahidi na hatimizi ahadi yake.

bora hata mnyika japo nnapingana nae ila ni mtu ambae anapambana kwenye midani mpaka pumzi yake ya mwisho na pia mchukua wake za watu hujitahidi na japo wakati mwengine hufanya utoto akaleta barua zake hapa kabla ya kuzipeleka bungeni na kisha akakanusha kuwa hajazisambaza.

huyu history yake mbovu na hafai kuwa hata mwenyekiti wa chama ni mtu mchafu.


lkn kwa vile chadema ni chama cha kikabila na kiukoo kama tulivyokijadili siku nyingi zilizopita na hata baadhi ya viongozi wake kukiri hilo sishangai

Hebu edit hii habari yako mtu wa pwani. kama kweli unashindwa kuandika kwa ufasaha tu utawezaje kuanalyse watu jamani? usitupotezee muda
 
Maadili, disko inakubalikika. na ufuska Jee? au hujaona wanavyojiuza pale mbowe? na yeye anashadidia? angekuwa anajali maadili angefanya biashara isiyoweza kutolewa kasoro. Lakini, lisikutishe hilo, biashara ile kairithi kutoka kwa baba yake!

From the look najua hii mada ina chokochoko na Msitahidi tangia nimekuwa namsoma ni mtu mzushi mwenye nia fulani .Lakini JF naona yote yanakubalika wacha twende naye .

Maadili ? Zomba umechekesha sana .Uongozi wa Tanzania hauwezi kuwa maadili ni kigezo .Nimewahi kuongea na wakubwa fulani wala siku si nyingi walisema Tanzania si maadili ndipo uwe kiongozi mambo ya maadili ni Wazungu sisi hata ukiwa huna maadili unaweza kuchapa kazi basi utakuwa tu .Hebu tuangalie maadili ni yapi .Kwenye disco pekee ? Kuiba mali ya umma si maadili ? Kuchukua wake za watu si maadili ? Viongozi wengi wa CCM wanaongoza kwa kuvunja maadili na ufiska .Hebu fika Dodoma uone , hao akina Lowasa na Rais mwenyewe wana uchafu mwingi wa aina ya ufuska na maadil mengine ikiwa ni Mkapa kufanya biashara akiwa Ikulu na kuwakumbatia wezi na waharibifu lakini bado ni viongozi wa Tanzania .Hili nalo tunalisemaje ?

Sote tumemuona na yeye Mbowe anajua siasa za aina yote nakila jibu lake alikuwa analitolea mfano nakusema nini kifanyike wewe unakuja na longo longo zako tu hapa kwa chuni ama kujenga mazingira ya hidden agenda yako .Tuendelee .
 
Neither Mbowe no Mrema deserved to be in any National Posts... Let Alone Presidency post...

Imani yangu kwa Upinzani na Baadaye... ni kwamba Tumjenge huyu kijana anaitwa Kitila Mkumbo...

Mimi huwa nam-challange... lakini kwa kiongozi ambaye nitamwamini kutoka kwenye opposition wing... sina zaidi ya huyu kijana...

Sababu ninazo... na nia ya kumtetea ninayo...


Ninakerwa sana na viongozi wanaibuka from No-where wanakuwa maarufu na sisi twasabikia kwamba ni viongozi wazuri...



Kama mnakumbuka nilimtabiria Mizengo kuwa Waziri Mkuu kwenye thread ile ya "Tyson "Wasira" kuwa waziri mkuu?,,,na pia baada ya MP kuteuliwa kuwa waziri mkuu, nilitabiri kwamba Wasira atakuwa Tamisemi... mabibi na mabwana hakuna waziri kubwa na ngumu ku-manage kama ya TAMISEMI... kama wenyewe munavyojua hii ni serikali kamili... (serikali za Mitaa) ndio maana mimi ningekuwa Rais ningesema tu,,, makao makuu ya Serikali Za Mitaa na Bunge ni Dodoma, na Serikali kuu ni Dar es Salaam,...ila ningehakikisha Mwanza inakuwa makao makuu ya Judiciary...

Na Arusha inakuwa makao makuu ya Wizara ya Afrika Mashariki, Utalii, na Wizara ya Mambo ya nje....

kwa kuwa niliona potential yake kwa muda mrefu sana...

Mungu ibariki Tanzania, Ahsanteni
 
Neither Mbowe no Mrema deserved to be in any National Posts... Let Alone Presidency post...

Imani yangu kwa Upinzani na Baadaye... ni kwamba Tumjenge huyu kijana anaitwa Kitila Mkumbo...

Mimi huwa nam-challange... lakini kwa kiongozi ambaye nitamwamini kutoka kwenye opposition wing... sina zaidi ya huyu kijana...

Sababu ninazo... na nia ya kumtetea ninayo...


Ninakerwa sana na viongozi wanaibuka from No-where wanakuwa maarufu na sisi twasabikia kwamba ni viongozi wazuri...



Kama mnakumbuka nilimtabiria Mizengo kuwa Waziri Mkuu,,, kwa kuwa niliona potential yake kwa muda mrefu sana...

Mungu ibariki Tanzania, Ahsanteni

Nadhani una matatizo makubwa lakini JF ndiyo mahala watu kupokea challenges .Katika upinzani mzima umemiona Kitila pekee leo ama hata kesho ?

Pinda wengi walimtabiria si wewe pekee ila sema wengine hatukuandika lakini tulipata hisia hizi na ikawa kweli .Lete hoja nyingine
 
From the look najua hii mada ina chokochoko na Msitahidi tangia nimekuwa namsoma ni mtu mzushi mwenye nia fulani .Lakini JF naona yote yanakubalika wacha twende naye .

Maadili ? Zomba umechekesha sana .Uongozi wa Tanzania hauwezi kuwa maadili ni kigezo .Nimewahi kuongea na wakubwa fulani wala siku si nyingi walisema Tanzania si maadili ndipo uwe kiongozi mambo ya maadili ni Wazungu sisi hata ukiwa huna maadili unaweza kuchapa kazi basi utakuwa tu .Hebu tuangalie maadili ni yapi .Kwenye disco pekee ? Kuiba mali ya umma si maadili ? Kuchukua wake za watu si maadili ? Viongozi wengi wa CCM wanaongoza kwa kuvunja maadili na ufiska .Hebu fika Dodoma uone , hao akina Lowasa na Rais mwenyewe wana uchafu mwingi wa aina ya ufuska na maadil mengine ikiwa ni Mkapa kufanya biashara akiwa Ikulu na kuwakumbatia wezi na waharibifu lakini bado ni viongozi wa Tanzania .Hili nalo tunalisemaje ?

Sote tumemuona na yeye Mbowe anajua siasa za aina yote nakila jibu lake alikuwa analitolea mfano nakusema nini kifanyike wewe unakuja na longo longo zako tu hapa kwa chuni ama kujenga mazingira ya hidden agenda yako .Tuendelee .

Mimi siongelei nini Mbowe kasema naongelea mambo yalioulizwa. jee anafaa kuwa Rais?

Ikiwa kusema, yupo anaeweza kumshinda nyerere kwa kusema? mimi sijamuona bado. Lakini katika awamu yake iliyokuwa awamu ndefu kuliko zote. Alitutia kwenye lindi la ufukara hata wembe za kunyolea ilikuwa hatuna. Duhh. Sasa si unaona, kusema na kutenda ni vitu tofauti.

Kwa hoja yako hiyo hiyo ya kunitaka niende Dodoma nikaone, napenda kukuuliza, Jee huoni hao viongozi unaotaka nikawaone wanavyotupeleka hovyo? Nadhani jibu la maadili utalipata hapo.
 
Mimi siongelei nini Mbowe kasema naongelea mambo yalioulizwa. jee anafaa kuwa Rais?

Ikiwa kusema, yupo anaeweza kumshinda nyerere kwa kusema? mimi sijamuona bado. Lakini katika awamu yake iliyokuwa awamu ndefu kuliko zote. Alitutia kwenye lindi la ufukara hata wembe za kunyolea ilikuwa hatuna. Duhh. Sasa si unaona, kusema na kutenda ni vitu tofauti.

Personal hatred na grudges zako kwa RIP Mwalimu zina eleweka .Jenga hoja tuendelee .Unalia lia mno ndugu .Sote tunajua una machungu na chuki na Mwalimu inatosha . Hoja iko mezani ya uongozi na watu kusema watu fulani hawafai .Now nimeweka ngoma kati lete hoja ya maana juu ya maadili .
 
Personal hatred na grudges zako kwa RIP Mwalimu zina eleweka .Jenga hoja tuendelee .Unalia lia mno ndugu .Sote tunajua una machungu na chuki na Mwalimu inatosha . Hoja iko mezani ya uongozi na watu kusema watu fulani hawafai .Now nimeweka ngoma kati lete hoja ya maana juu ya maadili .

soma hoja ya niliyojibu, yeye anasema hoja ni "Mbowe kasema" sasa mimi nauliza Jee, kuna anayejuwa kusema zaidi ya nyerere? mimi sijamuona. Wewe unasemaje, umeshawahi kumuona?
 
Naomba kuchangi Jmabo moja kuwa Bwana Mbowe anafanya Bishara ya ufusika. Tunaweza tukawa na vigezo vya kongozi bora, kwa kweli mimi nimechoshwa na kuambiwa huyu kiongozi ni Mpole, anatoka katika familia ya kawaida mumeona hata wazazi wake, hivi hizi kweli ni sababu za msingi za kumfanya mtu akawa kiongozi. Nadhani naungana na yule Eng. Stella Manyanya aliyesema sifa za Mbunge na Viongozi wengine ziwe zaidi ya kujua kusma na kuandika tu' naomna hata hapa JF tunawatu wanomchambua kiongozi kwa vigezo kam hivyo.

Uliona post moja hapa inasema South africa wataharalisha bishara ya umalaya kwa ajili ya worl cup 2010, nchi nyingi ufsika ni halali. Pia kwanini mtusifanye biashara kama hii anagalau watu tunaijua kuliko hao wanaotegemea hela za deal za kuibia nchi.

unamkumbuka yule waziri ambaye wenzetu wa kusini wanamfagilia awe raisi kuwa hakujibu tuhuma za kusomeshewa mtoto wake katika level ya Masters na wawekezaji amabao walinunua TTCL akiwa waziri wa mawasilaino? Huyu unaona ndiye awe raisi? saa hizi tu anasomeshewa watoto akiwa President itakuwaje? this is corruption! amabayo ni kigezo muhimu kumpima mtu.
 
Naomba kuchangi Jmabo moja kuwa Bwana Mbowe anafanya Bishara ya ufusika. Tunaweza tukawa na vigezo vya kongozi bora, kwa kweli mimi nimechoshwa na kuambiwa huyu kiongozi ni Mpole, anatoka katika familia ya kawaida mumeona hata wazazi wake, hivi hizi kweli ni sababu za msingi za kumfanya mtu akawa kiongozi. Nadhani naungana na yule Eng. Stella Manyanya aliyesema sifa za Mbunge na Viongozi wengine ziwe zaidi ya kujua kusma na kuandika tu' naomna hata hapa JF tunawatu wanomchambua kiongozi kwa vigezo kam hivyo.

Uliona post moja hapa inasema South africa wataharalisha bishara ya umalaya kwa ajili ya worl cup 2010, nchi nyingi ufsika ni halali. Pia kwanini mtusifanye biashara kama hii anagalau watu tunaijua kuliko hao wanaotegemea hela za deal za kuibia nchi.

unamkumbuka yule waziri ambaye wenzetu wa kusini wanamfagilia awe raisi kuwa hakujibu tuhuma za kusomeshewa mtoto wake katika level ya Masters na wawekezaji amabao walinunua TTCL akiwa waziri wa mawasilaino? Huyu unaona ndiye awe raisi? saa hizi tu anasomeshewa watoto akiwa President itakuwaje? this is corruption! amabayo ni kigezo muhimu kumpima mtu.

mie sijakuelewa, sijui wengine!
 
Back
Top Bottom