Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
aliulizwa aeleze kuwa alikuwa mwanachama wa wapuki hajaja kutueleza tena na akakimbia
alijiunga hapa na akaeleza kuwa yeye atajibu hoja mwenyewe na akatukimbia mtu gani amabe anaahidi na hatimizi ahadi yake.
bora hata mnyika japo nnapingana nae ila ni mtu ambae anapambana kwenye midani mpaka pumzi yake ya mwisho na pia mchukua wake za watu hujitahidi na japo wakati mwengine hufanya utoto akaleta barua zake hapa kabla ya kuzipeleka bungeni na kisha akakanusha kuwa hajazisambaza.
huyu history yake mbovu na hafai kuwa hata mwenyekiti wa chama ni mtu mchafu.
lkn kwa vile chadema ni chama cha kikabila na kiukoo kama tulivyokijadili siku nyingi zilizopita na hata baadhi ya viongozi wake kukiri hilo sishangai
Hizi akili chakavu ndizo zinazotuweka kwenye list ya nchi maskini zaidi duniani.Kama ili tuendeleee tunahitaji pia watu basi hii ndiyo sababu inayotuangusha.