Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
Ni imani yangu kuwa unaikumbuka channel ya e TV ambayo ilikuwa inapatikana katika intelsat at 68 E degree KU,ambapo kwa sasa ni scramble channel,je ni angle ipi inapatikana free??
Ni imani yangu kuwa unaikumbuka channel ya e TV ambayo ilikuwa inapatikana katika intelsat at 68 E degree KU,ambapo kwa sasa ni scramble channel,je ni angle ipi inapatikana free??
Unapenda kuangalia matusi, nshajua.
nahisi kuna channel e mbili, moja haina matusiUnapenda kuangalia matusi, nshajua.
tena saa 6 ucku,. Ila mm shda yangu n wwe tuu na movie
nahisi kuna channel e mbili, moja haina matusi
Sa kwanini usiangalie ten sport?
Kwa sasa e tv ya bure hakuna wadau
Mkuu vipi MBC's,DUBAI SPORTS zinapatikana kama FTA? Kama ndiyo je Dish size gani ni muafaka?
Mkuu vipi MBC's,DUBAI SPORTS zinapatikana kama FTA? Kama ndiyo je Dish size gani ni muafaka?
bora hata wameacha kama ilivyo kwa itv. Walikuwa wanaonesha viaz 2. Ki2 kimechezwa mwezi olopita, wenyewe wana kionesha leoHata Kbc nao wameacha kuonesha Wwe
bora hata wameacha kama ilivyo kwa itv. Walikuwa wanaonesha viaz 2. Ki2 kimechezwa mwezi olopita, wenyewe wana kionesha leo
Hiyo Abhu zabi,ni baadhi ya mikoa huku kwetu ni ngumu saana kupatikana hata kwa dish futi 10 bado bila bila.mbc ya bure ni ngumu sana. Ipo ya kulipia nayo gharama yake hipo juu kwa sie marofa. Dubai spot hiyo unaweza kuipata tena bure dish ft 6 . Hili upate mbc .abuzabi na aljazeera . Inatakiwa upate dish c band ft8 au ku ft 6. Dekoda ya humax mpeg 4 hdmi
Chanel e kwa sasa unaweza kuipata bure ila sio mojakwamoja ni kwa muda wakati wa news au eufa champion leage juma4.
I hope hizi e.tv zipo mbili as hata kwenye package za Dstv ipo sana na hali kadhalika na Star times ipo but hizo movies za saa sita usiku hakuna kwa sasa kwani ikigonga saa sita ni news kwa kwenda mbele.tena saa 6 ucku,. Ila mm shda yangu n wwe tuu na movie