Je "Dr" Mbwambo wa Mzumbe University Dar Business School ame-graduate PhD yake?

Mkuu Kipilime tafadhari na wewe sahihisha usemi wako, hapa JF kuna watu na heshima zao wala si wote ni waropokaji na wapiga majungu kama vile hawana kazi maalumu, tuheshimiane Bwana!!!!!!!!!!


Mtumishi Wetu mimi ni mtu Muungwana. Naomba radhi sana kwa wale nilliowakosea heshima. Lakini naomba tusaidiane pale ambapo watu wanaonekana ni wapiga majungu, kwa kuwa tunaona wanachoandika na michango yao. Heshima zenu wakubwa ila sitowakalia kimya hata kidogo wapiga majungu. Heshima tele Mtumishi Wetu

 
Binafsi natafuta fungu niwapelekee walimu wa mzumbe nifanye chochote nachotaka tena wananifanyia wenyewe maana kwanza kithungu hawajui. Wanachojua ni pesa tu wale

teh teh teh,ka vip njoo itisha harambee mkuu.
 
Mtumishi Wetu mimi ni mtu Muungwana. Naomba radhi sana kwa wale nilliowakosea heshima. Lakini naomba tusaidiane pale ambapo watu wanaonekana ni wapiga majungu, kwa kuwa tunaona wanachoandika na michango yao. Heshima zenu wakubwa ila sitowakalia kimya hata kidogo wapiga majungu. Heshima tele Mtumishi Wetu

Nashukuru kwa response yako ya haraka Mkuu, samahani kama nimetumia lugha ya ukali, ni kweli kama kuna wapiga majungu lazima wakemewe!!!!Kwa kweli si wote members wa JF ni wapiga majungu bali wanaelezea hisia zao tuu, tupo pamoja ndugu yangu!!!!! Ubarikiwe!!!

 
Hivi huyu DR Jonathan Mbwambo na ngudu na yule DR Jonathan Stephen Mbwambo wa SUA ambaye ni Director wa DSI?
 
Nilichosikia na kushuhudia ni kwamba Jonathan Mbwambo bado hajamaliza PhD. Anasema kuwa iko katika hatua za mwisho kabisa kwa external examiner. Unajua PhD inawezekana kuwa supervisors wako (mara nyingi wawili) wanaweza kuwa wameridhika na kazi yako: lkn kwa utaratibu wa vyuo vyote, lazima kuundwe external PhD committee ambayo itasoma kazi nzima, kuutisha "defense" na kutoa verdict. Sasa nilichosikia ni kuwa huyu jamaa amekwama hapo; ameshindwa kumshawishi mmoja wa examiner kuwa amefanya vizuri utafiti wake, hasa upande wa methodology. Haya ni mambo ya kawaida kwa PhD, mana unakuwa hujui unamaliza lini: Issue yangu kubwa hapa ni KWANINI TAYARI ANATUMIA TITLE YA KUITWA DOCTOR (Dr)?????...Anataka kumpendezesha nani? Hilo naamini kabisa Prof Kuzilwa analijua...mana ni mshikaji wake sana: Kuzilwa hana uwezo wa kumkemea, ni kiongozi dhaifu pmj na kuwa Academic Credentials zake hazina wasiwasi.

Tungependa Mzumbe University watoe Press Release Kuhusu Hili; mana ni sawasawa na mtu kujiita Advocate na kwenda vijijini na kuwadanganya wanakijiji kuwa atawasaidia katika kupitia kampuni yake kwenye matatizo yake ya Ardhi...Huu ni udanganyifu....

Napenda mtoe michango yenu katika hili...hasa wanafunzi wa wote wa Mzumbe hasa wa Dar Campus...

Dean wa DSM MU Campus College anaitwa Andrew na sio Jonathan, na yeye alimaliza shule yake mwaka 2005. Nafikiri mnachanganya majina tu.
 
Jukwb la elhmu linatakiwa lichangiwe na wenye elimu. Kwa msio na elimu muwe mnaomba kuuliza tu ili muelimishwe. Kinyume cha hapo utaitwa mfanya majungu tu.
Heh heee hee du kazi inogile,kwa hiyo vihiyo hapa si mahala pake inabidi waende kuule kwenye jukwaa la siasa a.k.a jukwaa la POROJO
 
Nilichosikia na kushuhudia ni kwamba Jonathan Mbwambo bado hajamaliza PhD. Anasema kuwa iko katika hatua za mwisho kabisa kwa external examiner. Unajua PhD inawezekana kuwa supervisors wako (mara nyingi wawili) wanaweza kuwa wameridhika na kazi yako: lkn kwa utaratibu wa vyuo vyote, lazima kuundwe external PhD committee ambayo itasoma kazi nzima, kuutisha "defense" na kutoa verdict. Sasa nilichosikia ni kuwa huyu jamaa amekwama hapo; ameshindwa kumshawishi mmoja wa examiner kuwa amefanya vizuri utafiti wake, hasa upande wa methodology. Haya ni mambo ya kawaida kwa PhD, mana unakuwa hujui unamaliza lini: Issue yangu kubwa hapa ni KWANINI TAYARI ANATUMIA TITLE YA KUITWA DOCTOR (Dr)?????...Anataka kumpendezesha nani? Hilo naamini kabisa Prof Kuzilwa analijua...mana ni mshikaji wake sana: Kuzilwa hana uwezo wa kumkemea, ni kiongozi dhaifu pmj na kuwa Academic Credentials zake hazina wasiwasi.

Tungependa Mzumbe University watoe Press Release Kuhusu Hili; mana ni sawasawa na mtu kujiita Advocate na kwenda vijijini na kuwadanganya wanakijiji kuwa atawasaidia katika kupitia kampuni yake kwenye matatizo yake ya Ardhi...Huu ni udanganyifu....

Napenda mtoe michango yenu katika hili...hasa wanafunzi wa wote wa Mzumbe hasa wa Dar Campus...

Muwe makini na majungu yenu mnapotaja majina ya watu Jonathan Mbwambo ni mtu mwingine kabisa ni PHD holder (Dr.) SUA - Morogoro, nilishangaa kuona jina lake unalitaja na kusema yuko Mzumbe Universtity na kwamba hana PHD.
 
Waheshimiwa,

Jukwaa la Elimu lazima lipewe heshima inayostahili. Utafiti ufanyike kabla ya kutoa habari, vinginevyo inakuwa majungu na hii haijengi. Kujua kama Dr Andrew H. Mbwambo (jina lake sahihi) ame"graduate" au la ni kiasi cha kuwasaliana na Chuo alichosoma. Ukweli ni kwamba huyu bwana aliashapata gamba lake siku nyingi. Kama unawasiwasi wasiliana na major supervisor wake, Prof Dorothy McCormick, wa chuo cha Kikuu Nairobi, ambaye pia guru wa Value Chain studies duniani.
Msichanganye watu.

Msema kweli Daima

kweli mkuu. Sidhani kama JF ni sehemu pekee ya kujua habari za mtu. Yaelekea mleta thread ana msuguano binafsi na Dr. Mbwambo.
 
On Top od that he is associate Priffessor. It means alishamaliza shule
 
Mambo ya kusikia hayatakiwi humu "source please"
Pili changanya na zako usiwe mbayumbayu "dr mbwambo ana diserve" zaidi ya hapo ni majungu tu
 
Kumbe mzumbe vilaza kuanzia wanafunzi hadi walimu wao?
Acha majungu, inavyoonekana kuna kitu umefanyiwa na Mzumbe community. Kama ulikipenda na ukakikosa usijipe moyo kwa kuwaita waliokipata vilaza. Unajua sifa za kujiunga na kile chuo?
Usiwapige majungu wenzio waliopata ooportunity ya kusoma pale bwana. Nadhani hili ni jukwaa la scholars na sio gossipies.
Hembu elimika kwa kuongea facts na sio nonsense.
 
Back
Top Bottom